Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,437
Aiseee!
Sio tigo mkuu,zilikuwa adhabu kali sana hadi niliona jehanamu.
Nilikuwa nafurahi sehemu moja tu,nayo ya msosi tu kwa sababu nilirudi home nimenenepa licha ya majanga yote.