Majani kaachia album, wimbo gani mkali?

Majani kaachia album, wimbo gani mkali?

Mcqueenen

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,843
Reaction score
11,702
Sote tulijua Majani ni OG pioneer, lakini nimeshangaa kuwa bado hata leo kwenye hiki kizazi ambacho hawana kipya wao wanacopy tu miziki ya Nigeria na south Africa, Majani ndiye ameamua kuwa mkombozi na kuonesha watu what music is all about-innovation. Nilichogundua mtu pekee wa kuiokoa bongo fleva ni Majani maana miziki yote redion ilikuwa imeshaanza kufanana tu utadhani ni nyimbo moja inaoigwa asubuhi mpaka jion.

Kwangu Mimi ngoma nazozikubali kwenye hii album ni
1. Niko bize
2. Life time
3. BBM
4. Toa tano
5. Mzee wa busara
 
Unanikata maini baba kuna mapiano nataka kuiachia nikipata hela halafu unasema tunaigq
 
Angejituliza tu ajizeekee sasa kushindana na mkwe tena na amfunike si aibu hizo
 
Dah kumlinganisha Marion na Majani ni kumvunjia heshima Majani.
Majani kafanya mengi kufanya bongo fleva iwe bongo fleva hii unayoijua.
Majani anajua mziki wewe
 
Dah kumlinganisha Marion na Majani ni kumvunjia heshima Majani.
Majani kafanya mengi kufanya bongo fleva iwe bongo fleva hii unayoijua.
Majani anajua mziki wewe
Ndo kama hivi katoa na album tutamlinganisha nae tu tena wafanye featuring ili waturahisishie
 
Back
Top Bottom