Majaribio ya Dokta Masaru Emoto juu ya athari za hisia na mawazo katika uhalisia

huna.! unazitumia kufanya nini. muongo bhan. hakunaga hio roho .!
Kama sina so what?

Wabongo bhana mtu hakujui na hajui kitu ila anabisha kama anakujua vile
Sasa mimi ndie naekuleza hizo nguvu ninazo wewe unabisha,
Hata nikiwa sina nikisema ninazo wewe itakupunguzia au kukuongezea nini?

Haya sasa hizo nguvu hua nazitumia kufanya Teleportation,Magic illusion,Trans Galactic,
Nibiru Extraterrestrials connection na maswala mengi kama chants, Meditation pamoja na kutengeneza Matrix!

Haya sasa endelea kubisha!
 
sibitisha Kama hutojali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…