Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
- Thread starter
-
- #61
Ukiwa kwenye browser unafungua profile yangu utaona sehemu ya followlucas mobutu nielekeze namna ya kukufolo mkuu
Hahahahamadaraka ya nyumbani kwako na mali zako yanatosha.
unasema kabila alijiingiza mkenge mwenyewe.ilikuwaje?Hahahaha
Sawa mkuu
Ilikua hiviunasema kabila alijiingiza mkenge mwenyewe.ilikuwaje?
Uko sawa kdg na hauko sawa kdg ,rekebisha kdg au weka sawa ,Mzee mtwale ( Kabila snr ) alikua ktk mapambano kitambo ,nilikua nagushi huko juu kuandika ,kwasababu maalum ,naishia hapa,usiku mwema ,hapa kolwezi ni SAA 21:36 ,baridi Kali sanaIlikua hivi
Kabila alikua huku TZ akawa anajuana na museveni
Museveni na kagame mwaka 1996 walipanga kumtoa mobutu lakini hawakuweza bila kua na mkongo
Hivo museveni akamtambulisha kabila kwa kagame.kabila akaend rwanda akakubaliana na kina museveni na kagame wampe jeshi na pesa ili amtoe mobutu madarakani kwa sharti kua
Kabila atairuhusu rwanda na uganda kuiba madini ya congo
Basi kabila akaingia madarakani. Akalewa madaraka akaanza kuenda kinyume na kina museveni na kagame
Akawafukuza wanajeshi wa rwanda congo na kuishutumu rwanda kuiba mali za congo
Kilichofata rwanda ikawalipa wale madogo walinzi wa kabila wenye miaka 16-20 wamuue kabila
Siku moja kabila yuko ofisini na wageni wake.kakaja kalinzi kake kakainama kumaanisha kanataka wazungumze
Kanaitwa rashid
Kakampiga risasi kabila akafa hapo hapo
Umeishauleta?Kuna uzi nitauleta soon juu ya maisha yake private
Mkuu ilikua hiviUko sawa kdg na hauko sawa kdg ,rekebisha kdg au weka sawa ,Mzee mtwale ( Kabila snr ) alikua ktk mapambano kitambo ,nilikua nagushi huko juu kuandika ,kwasababu maalum ,naishia hapa,usiku mwema ,hapa kolwezi ni SAA 21:36 ,baridi Kali sana
Sasa umeweka walau kdg sawa,nakuaminia endelea ,niko na wewe MkuuMkuu ilikua hivi
Kabila ameanza mapambano miaka ya 60 akashindwa kila mara
Kuna mpaka wakati aliomba msaada wa che guavara pia akashindwa
Ikambidi aondoke huko congo aje huku TZ akaishi dar lakini bado alikua na ka jeshi kadogo mno zaire misituni ambako kalidhibitiwa
Na walifahamiana na mobutu.
Nimeangalia documentary juzi. Mobutu alimwambia mwanasheria wake hivi wakiwa ufaransa
"Robert ,i know kabila he is nothing,he is just small trader around goma and elswere"
Hapo ni baada ya bwana robert kumshauri mobutu juu ya vita mwaka 1996 wakati huo mobutu hakujua ukubwa wa vita hii.
So kabila alianza harakati kitambo ila alishindwa kabisa mpaka 1996 .wakati akiwa ni mfanya biashara .watu wa kigoma wanamfahamu
Ukisoma kitabu a la cour de mobutuDahhhh mobutuu baba ya taifaa dingi alikua mchawi kishenz
Nitauandika kesho asubuhi mkuuUmeishauleta?
Nitauandika kesho asubuhi mkuuUmeishauleta?
Kesho asubuhi nitauandika mkuuUzi wa private life mkuu uko wapi?
PoaaaKesho asubuhi nitauandika mkuu
Ha ha ha mkuu tena jiwe fatumaUna maanisha bwana jiwe ?[emoji23]
Jamaa mimi hua simkubali kabisaa yani 2020 naona mbali mnoHa ha ha mkuu tena jiwe fatuma
...usiache kuni_tag mkuuKuna uzi nitauleta soon juu ya maisha yake private
Sawa mkuu...usiache kuni_tag mkuu