Nakuhakikishia kuwa ni lazima wafe tena wengi wataokwa na umeme sanaMpaka wafe watu kama 15 ndio tutaamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuhakikishia kuwa ni lazima wafe tena wengi wataokwa na umeme sanaMpaka wafe watu kama 15 ndio tutaamini.
Mbaya sanaTutakufa Sana mkuu😂😂😂😂😂
utaona watanaswa tu hata waambiwe vipPamoja na kusambazwa kwa elimu hiyo lakini kutatokea Wapuuzi ambao watajaribu kuharibu miundombinu kwa dhumuni la kuiba baadhi ya vifaa
Wamasai ni wajanja,kuna kisa kimoja nliskia way back,mmasai alijisahau akapumzika kwenye maungio ya reli,Sasa wakati treni inajiandaa kuondoka maungio ya reli yakabana kama ilivyodesturi,bahati mbaya mmasai akawa kabanwa Tako,alichofanya akachukua sime akalikata akasevu.Wamasai pale kihonda wao ndo hulala kabisa kwenye njia yake wanatamani kugonga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kipande cha tako kikabaki sioWamasai ni wajanja,kuna kisa kimoja nliskia way back,mmasai alijisahau akapumzika kwenye maungio ya reli,Sasa wakati treni inajiandaa kuondoka maungio ya reli yakabana kama ilivyodesturi,bahati mbaya mmasai akawa kabanwa Tako,alichofanya akachukua sime akalikata akasevu.
FUNZO:Masai Wana akili usiwachukulie poa