Majaribio ya treni ya SGR kufanyika Februari 26, 2024

Dar es Salaam hadi Morogoro, Februari 26, 2024.View attachment 2915995
tatizo ni VIWANGO VYA NAULI! Dar Moro ilitakiwa iwe sawa na Bus ili watu wawe wanachagua wenyewe nyie mkaweka 23,000 kama sio.kuhujumu mama ni nini?! pili biashara hii ni biashara endelevu sio ya kutafta faida mwaka.mmoja hii ni SERVICE hivyo majibu yake yawe kama daraja la kigamboni ambalo bei ni sawa na pantoni! tuache laana kwenye kodi za watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…