Majaribu tumeumbiwa wanadamu

Majaribu tumeumbiwa wanadamu

Pole sana, Mungu akujalie faraja
 
Mungu hamaanishi kitu chochote kwako. Lakini anachukia kuvunja ndoa. Na anapenda kabla ya kuishi na Mwanamke na kufanya nae tendo la Ndoa basi ufunge ndoa kwanza. Hivo chemistry ilikuwa ni yako ila siyo ya Mungu.

Ninakupa pole kwa kuondokewa na mwenzio. Kama wewe na mtalaka wako hamkuachana sbb ya Usaliti basi. Tengeneza na mke wako kaa nae sahihisha mlipo kosea. Kama Yeye bado anahitaji hiyo ndoa. Wewe sio lazima uhitaji lakini ni takwa. Kama sababu hapo juu ya kwamba labda ulimfumania na unaushahidi ni kweli basi achana nae. Kama sio hiyo Huyo ni mkeo mrudie. Mapungufu yake ndio mapungufu yako. Asante
Ahsante Kwa ushauri! Ndoa Zina changamoto mno. Siwezi kuongea in public lakini napenda ujue nimeishi like 13 years ndani ya ndoa hivyo najua upside down. Let it be maana yeye ndo karequest divorce pia kulikuwa na effort za kifamilia za kurescue Hilo lkn zilishindikana. Let it be.
 
Pole sana Mkuu!
Usivunjike moyo.
Naamini Mwenyezi Mungu atafanya njia.
Amina! Maisha ya Mungu. Nimeongea kutokana na maishi niliyoishi naye niliishi Kwa furaha na amani mno. Naamini Kila jambo ni Mpango wa Mungu hivyo tumshukuru Kuna njia atafanya.
 
Habari Wana wa JF...

Mimi ni muhanga wa kutalakina. Kesi yangu ya talaka ilifunguliwa tokea 2018 mpk Leo Bado haijaisha. Ilianzia primary court mpk Sasa ipo high court tusijadili maana ndo mambo ya kisheria yaache tu Sheria uchukue mkondo wake. Ipo hivi baada ya kutengana na X wangu nikapata sub mpya Hila alikuwa Dini tofauti nami.
Pole sana mkuu kwa kuondokewa na mpendwa wako,lakini kwanini hukumpeleka hospital before maana huo ushauri aliokupa daktari ulikua upewe ukiwa na mgonjwa hospital.
 
Pole sana, duniani mambo ni mengi unatakiwa uvae ujasiri.
 
Back
Top Bottom