Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Habari wakuu.
Hembu nipeni njia ya hawa Majembe jinsi wanavyofanya kazi.
Kuna gari zangu Carry zimo kwenye biashara.
Niliwahi kwenda TRA na Halmashauri kuhusu kuomba vibali wakaniambia kwamba wanatoa vibali kuanzia Tani 3.5 na sio chini ya hapo.
Kwahiyo gari zikawa zinafanyakazi na vibali vyote vinavyoruhusu kutembea,maana Carry ni chini ya kiwango chao.
Sasa leo Kuna Driver weangu mmoja amekamatwa Pale Pugu na hao Jamaa wa Majembe.
Hali jinsi ilivyokuwa ni kwamba,wanadai eti walipwe Laki Nne.
Na wamekuwa wanamharasi sana Driver na kumtisha kwamba watampeleka polisi na kesho gari inaenda Makao makuu na faini itakuwa kubwa zaidi.
Sasa diver aliponipigia nikampigia Mwanasheria wa Halmashauri akasema kwamba tuwaulize wao wamepewa Mamlaka hayo na Kitengo kipi cha Serikali.
Alipowauliza wakasema kwamba wao hawataki kuulizwa maswali,na tukijifanya kujua watu wa serikalini ndio charge itakuwa kubwa kwa usumbufu.
Driver wangu ame experince ujanja pale baada ya kuwaambia kuwa wanawasiliana na mwanasheria wa Serikali na katika hali hiyo kila mmoja anamtupia mwenzie mpira.
Mwanasheria wa Manispaa kanishauri kwenda Polisi kutoa taarifa juu ya hilo,ili wao waleleze mamlaka iliyowapa kumata gari zenye chini ya Tani iliyowekwa na Serikali na kwa mamlaka ipi.
Na Kwa Jeuri ya mmhusika mmoja wa Majembe anasema kwamba hizi Carry zimekuja kuuwa biashara ya Center kwahiyo tutazikama sana.
Sasa hii inaonyesha kwamba Canter ambazo ni 3.5 tani ndio zilikuwa zinawapa ulaji.
Nimemuamrisha Driver aiche gari na aende polisi,halafu pia achukue picha ya kitupo na wahusika.
Na nitazirusha muda sio mrefu hapa.
Maana naambiwa hata risiti hazionyeshi jina la mwenye gari wala aliemkamata muhusika.
Subiri nitawa update baada ya Diver kutoka Polisi,then kesho na cross Dar nitawapa update zaidi.
Na kama kuna sehem nyingine ya kwenda mnaweza kunishauri ili ni complie yote kwa pamoja.
Unless iwe ni sahihi utaratibu,la sivyo nitaondoka na mtu
Hembu nipeni njia ya hawa Majembe jinsi wanavyofanya kazi.
Kuna gari zangu Carry zimo kwenye biashara.
Niliwahi kwenda TRA na Halmashauri kuhusu kuomba vibali wakaniambia kwamba wanatoa vibali kuanzia Tani 3.5 na sio chini ya hapo.
Kwahiyo gari zikawa zinafanyakazi na vibali vyote vinavyoruhusu kutembea,maana Carry ni chini ya kiwango chao.
Sasa leo Kuna Driver weangu mmoja amekamatwa Pale Pugu na hao Jamaa wa Majembe.
Hali jinsi ilivyokuwa ni kwamba,wanadai eti walipwe Laki Nne.
Na wamekuwa wanamharasi sana Driver na kumtisha kwamba watampeleka polisi na kesho gari inaenda Makao makuu na faini itakuwa kubwa zaidi.
Sasa diver aliponipigia nikampigia Mwanasheria wa Halmashauri akasema kwamba tuwaulize wao wamepewa Mamlaka hayo na Kitengo kipi cha Serikali.
Alipowauliza wakasema kwamba wao hawataki kuulizwa maswali,na tukijifanya kujua watu wa serikalini ndio charge itakuwa kubwa kwa usumbufu.
Driver wangu ame experince ujanja pale baada ya kuwaambia kuwa wanawasiliana na mwanasheria wa Serikali na katika hali hiyo kila mmoja anamtupia mwenzie mpira.
Mwanasheria wa Manispaa kanishauri kwenda Polisi kutoa taarifa juu ya hilo,ili wao waleleze mamlaka iliyowapa kumata gari zenye chini ya Tani iliyowekwa na Serikali na kwa mamlaka ipi.
Na Kwa Jeuri ya mmhusika mmoja wa Majembe anasema kwamba hizi Carry zimekuja kuuwa biashara ya Center kwahiyo tutazikama sana.
Sasa hii inaonyesha kwamba Canter ambazo ni 3.5 tani ndio zilikuwa zinawapa ulaji.
Nimemuamrisha Driver aiche gari na aende polisi,halafu pia achukue picha ya kitupo na wahusika.
Na nitazirusha muda sio mrefu hapa.
Maana naambiwa hata risiti hazionyeshi jina la mwenye gari wala aliemkamata muhusika.
Subiri nitawa update baada ya Diver kutoka Polisi,then kesho na cross Dar nitawapa update zaidi.
Na kama kuna sehem nyingine ya kwenda mnaweza kunishauri ili ni complie yote kwa pamoja.
Unless iwe ni sahihi utaratibu,la sivyo nitaondoka na mtu