Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Sio nyie ndo muanze kwanza kutafuta nafasi ya pili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio nyie ndo muanze kwanza kutafuta nafasi ya pili?
Mimi ni Simba damu, naomba kujua timu walizotoka hao 'mapro' wengine. Isijekuwa tumeletewa wauza machungwa wa Harare ,Abidjan nkKocha - Joseph Omog
Wachezaji wote watakaowatumia
katika msimu wa
2016/2017.
Magolikipa:
1. Vincent De Paul Angban*
2. Peter Manyika
3. Denis Deonis
Beki wa kulia:
4. Hamadi Juma: Coastal
Union
5. Salum Kimenya: Prisons
Beki wa kushoto:
6. Mohamed Hussein
7. Abdi Banda
Mabeki wa kati:
8. Novaty Lufunga
9. Juuko Murushid*
10. Emmanuel Simwanza-
Mwadui FC
11. Janvier Besala Bokungu*
Viungo:
12. Jonas Mkude
13. Awadh Juma
14. Justice Majabvi*
17. Saidi Ndemla
18. Mwinyi Kazimoto
19. Mzamiru Yassin: M.Sugar
20. Mohamed Ibrahim: M.Sugar
21. Mussa Ndusha*
Winga:
22. Peter Mwalyanzi
23. Jamal Mnyate – Mwadui
24. Shiza Kichuya – M. Sugar
25. Hassan Kabunda –
MwaduiFC
Washambuliaji:
26. Ibrahim Hajibu
27. Daniel Lyanga
28. Haji Ugando
29. Mbaraka Yusuf – K.Sugar
30. Laudit Mavugo *
31. Blagnon Goue Frederic *
32. Ame Ali – Azam FC
33. Method Mwanjari*
1. Vincent De PaulMimi ni Simba damu, naomba kujua timu walizotoka hao 'mapro' wengine. Isijekuwa tumeletewa wauza machungwa wa Harare ,Abidjan nk
Msimu wa kupigwa tano ndiyo huu...kaeni chonjoSio nyie ndo muanze kwanza kutafuta nafasi ya pili?
Hawa wakina Hans Pope wanatutania sana . Pro wakueleweka hapo hawazidi watatu.1. Vincent De Paul
Angban tulikuwa naye
2. Juuko Murushid- tulikuwa naye
3. Janvier Besala Bokungu- Motemapembe Drc
4. Justice Majabvi- huyu tulikuwa naye tunamjua
5. Mussa Ndusha- Zimbambwe
6. Laudit Mavugo – Vital’O
(Burundi)
7. Blagnon Goue Frederic:
Africa Sports (Ivory
Coast)
8. Mwajari -
1. watatu tulikuwa nao tayari na tunawakubali ndiyo maana tukawabakiza je hunaimani nao au hao watano wapya ndiyo hnaimani nao...Hawa wakina Hans Pope wanatutania sana . Pro wakueleweka hapo hawazidi watatu.
Wacha tusubiri na kuombeana uhai na wino haufutiki mtani.Msimu wa kupigwa tano ndiyo huu...kaeni chonjo
Nina imani na uwezo wa Majabvi,Angban,Murushid na Mavugo kwa sababu nimewaona. Ila nashangaa tunaletewa wachezaji wengine hata timu walizotoka hazieleweki.1. watatu tulikuwa nao tayari na tunawakubali ndiyo maana tukawabakiza je hunaimani nao au hao watano wapya ndiyo hnaimani nao...
Imani yangu ni kwakuwa wamekaa nao kwa takribani mwezi mzima ukizingatia presha waliyonayokutoka kwa wanachama na mashabiki..halafu ukiangalia timu yetu haikuwa mbaya sana msimu uliopita hivyo basi ukiangalia wazawa na mapro tulioongeza na makocha tulio nao halafu matatizo ya pesa kwa wachezaji yakatatuliwa ninaimani tutatoboa...Nina imani na uwezo wa Majabvi,Angban,Murushid na Mavugo kwa sababu nimewaona. Ila nashangaa tunaletewa wachezaji wengine hata timu walizotoka hazieleweki.
Kama hao ambao hata wewe haufahamu timu walizotoka.
Bado sijapata ya mwisho...hiyo list siikubali umepika.Inakuwaje mapro wawe 9 wakati kanuni zinasema mapro 7?
Halafu huyo Kimenya na Kabunda wamesajiliwa lini? acheni kudanganya leteni kikosi kamili lakini sahihi