GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Kimya kimya hizi ni taarifa nilizopenyezewa kutoka ndani ya Yanga,
Hawa ni wachezaji wawili ambao yanga iko kwenye mkakati wa chini
chini wa kuwasajili, Ni Martin Antwi na Amos Frimpong wote kutoka
Ghana.
Kila la heri Yanga na mufanikiwe kunasa vifaa hivi vipya kutoka nje.
Hawa ni wachezaji wawili ambao yanga iko kwenye mkakati wa chini
chini wa kuwasajili, Ni Martin Antwi na Amos Frimpong wote kutoka
Ghana.
Kila la heri Yanga na mufanikiwe kunasa vifaa hivi vipya kutoka nje.