mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Watanzania bwana.....sijuwi kwanini wanakuwa wepesi sana kusahau matukio. Hivi, hii si ni Yanga ile ile ya toka mwaka 1920? Hii timu hata uwape Mourinho au Guardiola haifiki popote pale katika mashindano ya kimataifa, imelaaniwa.