mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Mimi ni kiongozi, mimi ni Kiongozi, Simba mashabiki wake wanajielewa, hatuwezi kwenda polisi wakati huna msaada wowote, kama nyie mlivyo fanya mkaishia kuosha gari tu. Ivi kweli Manji kipindi kile alikua na shida ya kuoshewa gari, au ndiyo mlikua mnakejeri yeye yupo mahabusu nyie mnaosha gari au ni akili za chawa.Muda mtaupata wapi kumfuatilia Niyonzima? Wakati viongozi wenu wote wapo segerea wananyea ndoo?
Huu ndio msimu wa yanga kutangazwa bingwa mapemaKweli kabisa ukizingatia malinzi yupo lupango ina hatari ya kushuka daraja
Jipe matumaini wametoka Ghana ndo yanga itakuwa hatari,akili zenu yanga kama kiporo cha boga bariiiidiVikizeeka tunauza kwa jirani yetu anayesajili maveterani
Wanajipa moyo kweli, hawajui Ghana njia panda ya ulaya, alafu mchezaji mzuri atoke kule aje huku, hao ni wachezaji wa viwango vya kawaida.Jipe matumaini wametoka Ghana ndo yanga itakuwa hatari,akili zenu yanga kama kiporo cha boga bariiiidi
Bingwa dArajala kwanzaHuu ndio msimu wa yanga kutangazwa bingwa mapema
Mimi ni kiongozi, mimi ni Kiongozi, Simba mashabiki wake wanajielewa, hatuwezi kwenda polisi wakati huna msaada wowote, kama nyie mlivyo fanya mkaishia kuosha gari tu. Ivi kweli Manji kipindi kile alikua na shida ya kuoshewa gari, au ndiyo mlikua mnakejeri yeye yupo mahabusu nyie mnaosha gari au ni akili za chawa.
Mjiandae kwa doziBingwa dArajala kwanza