Wazee wenzangu wa kubet kuna majeshi yanapewaga odds nzuri halafu yanatembeza vichapo balaa sema wadau hawajayashtukia. Embu tutililike nayo leo. Mimi naanza na union berlin ya bundersliga
Hao wanashinda deile na mara zote hawanaga odds kubwa. Ni 1.1 ikizidi sana 1.2. Me naongelea wale ambao huwa wanatoboa alafu wanapewa odds nzuri, mfano union berlin wa ujerumani, colocolo wa chile n.k