Punguza mahaba, jifunze kutumia akili kama hawa wenzako.Vipi unawazidi hawa kwa akili yako fupi??Magaidi wa Hezbollah Wameamua kukimbia na kuyaacha maeneo yao baada ya kupata ki pigo kikali kutoka majeshi ya Israel.
Basi kazi ipoHivi mnajua hamas na hezbollah ni vyama vya siasa na vinapigiwa Kura na vina wawakilishi kwenye mabunge ya kitaifa huko kwao
Vyama vya Siasa vyenye silaha za moto!!!!!!????Hivi mnajua hamas na hezbollah ni vyama vya siasa na vinapigiwa Kura na vina wawakilishi kwenye mabunge ya kitaifa huko kwao
Nshasema ma ostadh wa bongo ni wakupuuza.. 🤣🤣Sema hizbollah sijui walikua wanajikuta kina nan vile pamoja na vile vivuta bange vya yemeni wabongo wakishashiba tende za msaada wanaamin houth au hizbollah wanaweza kuwachakaza mazayuni wakati mzee wao mwenyewe iran anaogopa ndio maana anatumia vikundi vya kigaid maana anajua atarudi stone age dakika zero tu
Sasa unacho shangaa nini ? Fuatilia historia ya chama cha kikomunisti cha ChinaVyama vya Siasa vyenye silaha za moto!!!!!!????
Acha uongo bwana, hakuna vyama vya kisiasa hapo, hivyo ni vikundi vya kigaidi vilivyoundwa na Iran akitegemea kuvitumia kuiangamiza Israel. That's all.Hivi mnajua hamas na hezbollah ni vyama vya siasa na vinapigiwa Kura na vina wawakilishi kwenye mabunge ya kitaifa huko kwao
Hao Houth Toka USA awatandike kwa silaha mpya week 2 zilizopita sijawasikia tena sijui nini kimewakuta tume miss vihoja vyao kwakweli.Sema hizbollah sijui walikua wanajikuta kina nan vile pamoja na vile vivuta bange vya yemeni wabongo wakishashiba tende za msaada wanaamin houth au hizbollah wanaweza kuwachakaza mazayuni wakati mzee wao mwenyewe iran anaogopa ndio maana anatumia vikundi vya kigaid maana anajua atarudi stone age dakika zero tu