Majeshi ya Somalia yavuka mpaka na kuishambulia Kenya, serikali ya Kenya yalalamika

Majeshi ya Somalia yavuka mpaka na kuishambulia Kenya, serikali ya Kenya yalalamika

Hahahaha, sasa mumeanza kujua kwamba, zile sifa zenu za kijinga kujifanya mpo juu zilikua ni ujinga, nchi yenu inachezewa na nchi ndogo sana nadhahifu, jeshi la Somalia ni jeshi kweli la kuivamia Kenya na mshindwe kuwadhibiti badala yake mnalialia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kueneza propaganda za kishenzi .
 
Mtasubiri sana ,mnatusubiri kumbe wenzenu tulisha watangulia mbele ndiyo maana amtuoni Kenya tulisha ipita tangu 2010 cha kufanya kwa Kenya ni kutukimbiza msipoteze muda kutusubiri maana hamto tuona tupo mbele yenu siku nyingi sana kama kama hamuamini subirini mabwana zenu wazungu watakujulisheni siku si nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaaa!!sio nynyi mlikua mnasubiri mwakani mtupiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom