babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Can only recommend if you are a regular. YouTube wanajua unapenda kufatilia Kenya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can only recommend if you are a regular. YouTube wanajua unapenda kufatilia Kenya.
Jibu hoja kuhusu gharama za maisha watu wanapata taabu sana. Karibuni ktk nchi ya maziwa na asaliCan only recommend if you are a regular. YouTube wanajua unapenda kufatilia Kenya.
Huko kwenye ATCL haiwezi toka nje ya Nchi kuhofia kukamatwa? Wacha nikae na njaa huku hata omba omba wenu wanakimbilia humu.Jibu hoja kuhusu gharama za maisha watu wanapata taabu sana. Karibuni ktk nchi ya maziwa na asali
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini investors wenu wanakimbilia huku kwasababu wanajua iko pesaHuko kwenye ATCL haiwezi toka nje ya Nchi kuhofia kukamatwa? Wacha nikae na njaa huku hata omba omba wenu wanakimbilia humu.
Wacha kueneza propaganda za kishenzi .Hahahaha, sasa mumeanza kujua kwamba, zile sifa zenu za kijinga kujifanya mpo juu zilikua ni ujinga, nchi yenu inachezewa na nchi ndogo sana nadhahifu, jeshi la Somalia ni jeshi kweli la kuivamia Kenya na mshindwe kuwadhibiti badala yake mnalialia tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye njaa au kwenye corruption.Mnaipiku Kenya 😁
ATCL inadaiwa pesa ngapi bro?Lakini investors wenu wanakimbilia huku kwasababu wanajua iko pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hovyo kabisa ninyi, hamna lolote zaidi ya kujipiga kifua pekee, kweli Kenya ni failed stateWacha kueneza propaganda za kishenzi .
Mbna una ruka ruka na wakati mlisema mnatupiku..Yani nasisi madoni wa Africa tuwapiku kwa kujenga multiple slum ishiiii !!!!!
Kama nakuona vile komora upo ndani ya banda ya mabati kama kuku unakoroma tu huku kaji upepo ka harufu ya mafii kiki kuburudisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaaa!!sio nynyi mlikua mnasubiri mwakani mtupikuMtasubiri sana ,mnatusubiri kumbe wenzenu tulisha watangulia mbele ndiyo maana amtuoni Kenya tulisha ipita tangu 2010 cha kufanya kwa Kenya ni kutukimbiza msipoteze muda kutusubiri maana hamto tuona tupo mbele yenu siku nyingi sana kama kama hamuamini subirini mabwana zenu wazungu watakujulisheni siku si nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakimbilia hko kwa sababu nyie ni wavivu hku kuna competition sana.kutusua lazima ukazane sanaLakini investors wenu wanakimbilia huku kwasababu wanajua iko pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wavivu lakini wanawazidi kwa idadi ya matajiri, the only $Billionaire in East and Central Africa, wanawalisha kwasababu ninyi ni wazembe na wavivu mnakufa kwa njaaWanakimbilia hko kwa sababu nyie ni wavivu hku kuna competition sana.kutusua lazima ukazane sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitumie hyo link ya hao mabilionea mliotuzidiWavivu lakini wanawazidi kwa idadi ya matajiri, the only $Billionaire in East and Central Africa, wanawalisha kwasababu ninyi ni wazembe na wavivu mnakufa kwa njaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kha!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha, jeshi dhahifu sana hili, Alshabaab wakitokea wanajificha na kuwaacha wanajeshi wa Amerika wanapigana peke yao na kuuliwa
Haya GDP ya Kenya ni $102bil - GDP ya mabeberu $68bil - ufisadi - madeni - ribs ya madeni = $24bil pure kenya gdp2020 GDP Kenya $102b
2020 GDP LDC Tz $60b
Mtatupiku tu bro[emoji23]