Majeshi Yetu Hasa JWTZ kwa kushirikiana na usalama wa Taifa liangalieni hili.

Majeshi Yetu Hasa JWTZ kwa kushirikiana na usalama wa Taifa liangalieni hili.

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,130
Reaction score
2,102
Kuna watu wanapenda kutembelea maeneo yanayozunguka majeshi hasa JW huku wakitembeza vitu mbalimbali kama wamachinga. Kuna kijana nilikutana naye maeneo ya kaboya akitembeza vyombo original na vya kisasa, vyombo hivyo viliuzwa bei ya kutupwa. ajabu kijana huyo alijifanya hajui kiswahil hivyo alikuwa akitumia kiingereza kwa mawasiliano.

Majuzi nikiwa ngerengere nikakutana na kijana mwingine anazungusha vitenge original kwa bei ya kutupwa. huyu alikuwa anajua kiingereza kidogo lakini lugha aliyodai kuifaham zaidi ni kifaransa. alisema ni mkongo. kilichonipa wasi wasi ni kuwa kijana huy nilikutana naye tena karibu na makao makuu ya jeshi JW akiwa na vijana watatu (watanzania) na askari mmoja (cheo cha kopro) wamekaa sehemu moja wanapiga story kwa kiswahili sahihi kabisa.

Nilimwomba askari tuongee pembeni, nilimwuliza kama anawafaham vijana aliokuwa nao akasema wale watatu ni maaskari wenzake ila yule mwingine alitaka wamsaidie jinsi ya kujiunga na jesh (wataalam). mara ilikuja pikipk haraka akapanda na kuondoka
 
Kuna watu wanapenda kutembelea maeneo yanayozunguka majeshi hasa JW huku wakitembeza vitu mbalimbali kama wamachinga. Kuna kijana nilikutana naye maeneo ya kaboya akitembeza vyombo original na vya kisasa, vyombo hivyo viliuzwa bei ya kutupwa. ajabu kijana huyo alijifanya hajui kiswahil hivyo alikuwa akitumia kiingereza kwa mawasiliano.

Majuzi nikiwa ngerengere nikakutana na kijana mwingine anazungusha vitenge original kwa bei ya kutupwa. huyu alikuwa anajua kiingereza kidogo lakini lugha aliyodai kuifaham zaidi ni kifaransa. alisema ni mkongo. kilichonipa wasi wasi ni kuwa kijana huy nilikutana naye tena karibu na makao makuu ya jeshi JW akiwa na vijana watatu (watanzania) na askari mmoja (cheo cha kopro) wamekaa sehemu moja wanapiga story kwa kiswahili sahihi kabisa.

Nilimwomba askari tuongee pembeni, nilimwuliza kama anawafaham vijana aliokuwa nao akasema wale watatu ni maaskari wenzake ila yule mwingine alitaka wamsaidie jinsi ya kujiunga na jesh (wataalam). mara ilikuja pikipk haraka akapanda na kuondoka

Hilo litafanyiwa kazi haraka sana,je WADAU,mmepata ujumbe!!!msije kusema hamkuambiwa
 
Noted.........kwa sasa kuna wimbi kubwa sana la hawa ndugu zetu kutoka mkoa wa kigoma kukopesha vitu majumbani Sijui kama wote ni 'Tutetigite ' nayo Noted.. ......
 
Ni kweli mkuu,

Siku moja na mie nilikua napita ile njia ya "OCEAN ROAD" sasa hivi barack obama drive nyuma ya ikulu nilishangaa kuna vijamaa vimebeba nyungo vinauza karanga mitaa ile huku wanunuzi wakuu wakiwa ni askari wa ulinzi wa ikulu, Askari yumo ndani ya ukutua anakaita kajamaa kanasimama kwa nje kanamuuzia karanga nilishangaa sana aiseee.....
 
Duuh kweli hiyo ni threat magumashi ndiyo tatizo lake hilo....
 
Hizi si habari za kubezwa hata kidogo. Kama simulizi hizi ni za kweli (maana niko nje ya Tz kwa kitambo kifupi na sijawaona hao watu) basi iko hatari kubwa kabisa kiusalama.Tatizo ninaloliona sasa ni hofu ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuchakachuliwa na wanasiasa kiasi cha kupoteza mwelekeo katika kutekeleza majukumu yao.

Kuna mambo mengi mno yanayotokea hapa kwetu siku hizi ambayo yasingepaswa kutokea endapo Polisi na Usalama wa Taifa wangekuwa makini. Ukosefu wa umakini unaweza kuwa hatari zaidi sasa kuliko wakati wowote kulingana na challenges zinazojitokeza siku hizi. Natamani Katiba iweke vipengele vya kuviwezesha vyombo vyetu hivi kufanya kazi zao kwa uhuru bila ya kuingiliwa na wanasiasa ambao mara nyingi malengo yao si maslahi ya taifa, bali ya kwao na 'washkaji' wao.
 
Kuna watu wanapenda kutembelea maeneo yanayozunguka majeshi hasa JW huku wakitembeza vitu mbalimbali kama wamachinga. Kuna kijana nilikutana naye maeneo ya kaboya akitembeza vyombo original na vya kisasa, vyombo hivyo viliuzwa bei ya kutupwa. ajabu kijana huyo alijifanya hajui kiswahil hivyo alikuwa akitumia kiingereza kwa mawasiliano.

Majuzi nikiwa ngerengere nikakutana na kijana mwingine anazungusha vitenge original kwa bei ya kutupwa. huyu alikuwa anajua kiingereza kidogo lakini lugha aliyodai kuifaham zaidi ni kifaransa. alisema ni mkongo. kilichonipa wasi wasi ni kuwa kijana huy nilikutana naye tena karibu na makao makuu ya jeshi JW akiwa na vijana watatu (watanzania) na askari mmoja (cheo cha kopro) wamekaa sehemu moja wanapiga story kwa kiswahili sahihi kabisa.

Nilimwomba askari tuongee pembeni, nilimwuliza kama anawafaham vijana aliokuwa nao akasema wale watatu ni maaskari wenzake ila yule mwingine alitaka wamsaidie jinsi ya kujiunga na jesh (wataalam). mara ilikuja pikipk haraka akapanda na kuondoka

Mkuu wewe ni mzalendo hakika! Mamlaka husika wamesikia na litafanyiwa kazi!. Asante!
 
Unafa wakupe ulinzi shirikishi au mjumbe wanyumba kumi!
 
Udhibiti wa watu wanaoingia na kutoka ktk sehemu maalum kama kambi za jeshi umekuwa dhaifu sana.Hali hii uwawezesha maadui na mawakala wao kuingia na hata kujipenyeza sehemu nyeti na kupata taarifa muhimu kwa urahisi na hivyo kuhatarisha usalama wa nchi.
 
Shukrani mkuu kwa uzalendo wako, kama ungekuwa na wazo la kumpiga picha na kuitupia humu ingekuwa bora zaid. Otherwise, aminia kamanda.
 
Aisee ulimuona Ngerengere kizuka kambi ya jeshi la anga[ADF] mara ya pili makao makuu [NGOME] Akapanda pikipiki akaondoka gafla. Asante mkuu umesikika na huo ndo uzalendo wa kweli.
 
Ndo shida ya kuleta kujuana adi kwenye nyadhifa nyeti kama jeshi na usalama wa taifa, yaani siku iz askari wamelegea wanazunguka mitaani bila malengo ka wanafunzi wa fomwani

Wapuuzi hamkosi. Changia mad sio kuropoka vitu usivyovijua. Kaka zako Rwanda wako tumbo joto saa hii kwa hao hao askari walegevu.
 
Wapuuzi hamkosi. Changia mad sio kuropoka vitu usivyovijua. Kaka zako Rwanda wako tumbo joto saa hii kwa hao hao askari walegevu.

Ni maoni yake sio upuuzi kama unavyofikiri. Jadili fact, tupate solution. Peke yenu hamuwezi lazima tuwe teamwork ok?
 
Kuna watu wanapenda kutembelea maeneo yanayozunguka majeshi hasa JW huku wakitembeza vitu mbalimbali kama wamachinga. Kuna kijana nilikutana naye maeneo ya kaboya akitembeza vyombo original na vya kisasa, vyombo hivyo viliuzwa bei ya kutupwa. ajabu kijana huyo alijifanya hajui kiswahil hivyo alikuwa akitumia kiingereza kwa mawasiliano.

Majuzi nikiwa ngerengere nikakutana na kijana mwingine anazungusha vitenge original kwa bei ya kutupwa. huyu alikuwa anajua kiingereza kidogo lakini lugha aliyodai kuifaham zaidi ni kifaransa. alisema ni mkongo. kilichonipa wasi wasi ni kuwa kijana huy nilikutana naye tena karibu na makao makuu ya jeshi JW akiwa na vijana watatu (watanzania) na askari mmoja (cheo cha kopro) wamekaa sehemu moja wanapiga story kwa kiswahili sahihi kabisa.

Nilimwomba askari tuongee pembeni, nilimwuliza kama anawafaham vijana aliokuwa nao akasema wale watatu ni maaskari wenzake ila yule mwingine alitaka wamsaidie jinsi ya kujiunga na jesh (wataalam). mara ilikuja pikipk haraka akapanda na kuondoka
Hii tabia mm nimekutana nayo sana na huwa nakeleka mpka basi nishawahi kutana na jamaa m1 anajifanya mcongo mm kumchk pure jamaa alikua african-america kilichonishangaza hakuna mtu aliwza kujua uyu jamaa ni jasusi hta polisi hwana time movement zake ndo nilichoka jamaa e.g watu ambao alikuwa anaruhusu kuwa nae karibu especially mademu ni wale ambao they dn't know what is going on they don't wonder why and what is going on nikagundua jamaa anfanya ivi ili ajifiche. kwa w2 ambao wanajua maswala ya COMMUNICATION kuna baadhi na aina ya commnication huwezi kufanya kma huna insssue au mawasiliano ya nje uyu nigga alikuwa na vitu vya ajabu hususani alituma setelite hta kupga simu nina huhakika no one even videmu vyake aliejua except me nilichoka nilijiulza system ytu ikoje? nina vingi bt unawza ishia kulia na kuchukia watu na kazi zao 2
 
Back
Top Bottom