Majeshi Yetu Hasa JWTZ kwa kushirikiana na usalama wa Taifa liangalieni hili.


Uandishi wako unasumbua ila maoni ni mazuri
 
Ongera sana ndugu kwa kulileta hili jambo.
Nakunaliana na wewe kuwa raia wa kigeni pia wan jihusisha na kutembeza vitu vya majumbani kwenye kota za serikali.
Mimi niliwahi kukutana nao nikatambua kuwa si watanzania nikawabana sana kwa vitisho, kwa mbaaali gari la polisi lilikuwa linapita na zake. Kuona hivyo gafla wakawa wanyonge ndipo kijana mmoja wao akakubali na kukiri yeye ni wa Paulo. HATARI.
 

Na ukiwaambia wanajifanya wana hasra sana, ujumbe umefika kaka
 



ukisikia kimenuka jua tutaathirika wote, ni vema kuweka wazi kila mbinu chafu hata kama itawagharimu baadhi ya watendaji. tunahitaji kuwa salama.
 
enzi za Nyerere mjumbe wa nyumba kumi alikuwa sehemu ya data collection ya usalama wa Taifa,
kwani mjumbe huyu aliweza kutambua wapita njia,wageni,na wenyeji katika eneo lake,
kwa sasa Tanzania haina wenyewe,hatuna mjumbe wa nyumba kumi,na polisi wapo bize na issue za wizi tu,na ulaji mdogomdogo.
Taarifa kama hizi huwa hazifanyiwe kazi upesi,na zikifanyiwa kazi ,watuhumiwa wanajulishwa mapema ,hivyo inakuwa ngumu kudhibiti hawa majasusi.
nimeshakutana na wamarekani weusi mwananyamala uswahilini,zaidi ya mara tatu,hawana issue zaidi ya kukusanya inteligence info on the ground ambazo Satelite communications systems haziwezi kuzipata.
kwakipindi hiki usalama wa Taifa ni usalama wa IKULU tu,ndo maana presidential guard wamekuwa vinara katika usalama wa Taifa kuliko kawaida na vishikizo vyao sikioni(radio/cell comms)
1980's enzi za mwalimu usalama wa Taifa walikuwa kila mahali wakidaka Taarifa wako posted katika vijiwe vya kahawa,Shoe shiners, baa,sokoni,vituo vya basi,maofisi ya umma ,n.k , nahisi hawa mawakala wa Taifa letu kwa sasa moyo wao na morale umepungua kufuatana na uhalisia wa uongozi wa Taifa letu.
Wabunge,Madiwani,Mawaziri,Makatibu wakuu, wote wamekaa kibiashara biashara.
si walaumu ndo mfumo ulivyobadililika, na kurudisha mfumo wa utawala wa nyerere inahitaji kiongozi mwenye uwezo wa kuchukua maamuzi magumu likiwemo la kujikata mguu mwenyewe.ili kuokoa Jahazi la Taifa hili
 
"Taarifa kama hizi huwa hazifanyiwe kazi upesi,na zikifanyiwa kazi ,watuhumiwa wanajulishwa mapema ,hivyo inakuwa ngumu kudhibiti hawa majasus"

Naweza kukubaliana na wewe 100% kwa hili. pia kuna tetes kuwa kila tukio la kigaidi/kijasusi ambalo limewahi kutokea hapa nchini taarifa zake huwa ndani ya mafaili (ofisi) ya usalama wa taifa Mapema kabla ya tukio. tatizo kubwa linalotukabili ni watendaji/wafatiliaji wa taarifa hizo. hapa ndipo maslai binafsi hupata nafasi na walengwa kujulishwa ili wabadili mbinu. na kwa sababu hiyo basi, tunaweza kukutwa na janga lolote ilhali wakuu wameshakula chao mapema na mabilioni yao yametunzwa uswiz wanasubili kinuke wapotee. wengine wanapendekeza "uraia wa nchi" mbili kuingizwa kwenye katiba ili watumege effectively.
 
Tanzania hii ni yetu wote sio ya wahuku au kule kidini au kisiasa hilo kwanza tulikubali.
Kutofautiana kazi,vipato,na mengineyo tusiache UZALENDO NA KUUZA NCHI KWA VIPANDE VYA FEDHA.
LEO WEWE KESHO NI YULE..FURSA ITAKUJA
Kuna alie tajiri MILELE???ndio maana tunahangaika kila siku tu..
Kuna meeengi yamesemwa na wananchi...
LA MSINGI TUNAOMBA
YANAYOHUSU USALAMA WA NCHI NA MIPAKA YETU IWE JAMBO LA KWANZA...
IKIBIDI WATU WAWAJIBISHWE WASIO TEKELEZA MAJUKUMU..
INAKUWAJE HATA KULE MTWARA KUNA WATU wanafanya mazoezi ya kujeshi????
NI WAPI PENGINE AMBAPO HAYO YANAFANYWA NA BADO TAARIFA HAZIJATUFIKIA???
NA TETESI ZIKISIKIKA JAMANI ZINAFANYIWA KAZI????
JAMANI TUWE WAZALENDOOOOO.. HASA NYIE MAKAMANDA....
NYIE NI WATU MUHIMU MNOOOOO...NA MNAHESHIMIWA SANA
LAKINI PIA WANANCHI TUSIACHE KUTOA TAARIFA...
TANZANIA YANGU NAIPENDA...
 

Upuuzi huu umesha wahi kupost hapa
 

Kwa mwendo huo kwanini chinga (sorry, JASUSI!) asipenyepenye na kulipua mabomu?
 

Provocative story. Isn't
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…