EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
acha ujinga na ujanjaujanja kijana (unatumia ujanja ujanja kutuaminisha UONGO)Mbona unapaniki, muendelezo wa najesuit ushakuja na nishapost halafu sipangiwi ,coz naandaa mwenyewe,
Kuhusu mauaji ya kuua watakatifu nishaelezea hilo kwa details ,kwa faida ya wengi nitaurejesha huo uzi ukiwa umeshiba
KUHUSU CONSTANTINE
MBONA HATA MAPADRI NA MAPAPA WAMEKIRI HILO?
WEWE NI MAAMUMA?
KATIKA KITABU CHA WAKATORIKI KIITWACHO
BUSTANI YA KATEKISTA
Ukurasa - 74
Swali: KWA NINI TUNASALI SIKU YA JUMAPILI SIO SABATO?
Jibu: Kihistoria tunaelewa kwamba wakristo wa kwanza waliendelea kuadhimisha siku ya Bwana Jumamosi, walivyozoea wayahudi; hasa wakristo waliotoka dini ya kiyahudi......
Wale ambao walikuwa wanatoka upagani, hawakujisikia kuwa wanabanwa na sheria zile.........
Sababu nyingine ya kusali Jumapili ni hii; wafuasi wa Yesu walitaka kujitofautisha na waamini wa dini ya kiyahudi walioadhimisha ibada siku ya Jumamosi......
Polepole wakristo wakaanza kuzoea kukutana, kusali, kusoma masomo yao na kumega mkate siku ya kwanza.....
Ndivyo, tarehe 03/03/321, mfalme Konstantino alivyotangaza rasmi kwamba Jumapili iwe SIKU YA BWANA, wakristo wapumzike na kusali. Hayo ndiyo mapokeo ya Makanisa mengi.....
BUSTANI YA KATEKISTA CHA PADRE RAPHAEL ROGEAU W.F.
PUBLISHING-benedictine publications ndanda-peramiho ukurasa wa 74
SASA WEWE NA PADRE RAPHAEL ROGEAU NANI NI MUONGO?
UNAANZA KUKANA MAPADRE WAKO WALIOKUINGIZA HUKO RC?
NINA NUKUU HADI ZA PADRE TITUS AMIGU
Vitabu hivi vipo maktaba au bookshop za RC vinauzwa
unaleta ujanja ujanja kwenye vitu vya msingi (kawadanganye kwenye makambi yenu huko ndo watakubali ujinga wako)
DA AISEE SIKUFIKIRI KAMA WEWE NI MUHUNI KIASI ICHO (yaani unalazimisha nyeupe iwe nyeusi)
sasa naomba nifunue huo ujanja ujanja uliotumia hapo kwenye icho kitabu (unataka kudanganya watu wasio nacho icho kitabu)
ulichokifanya ndugu arooni ni hiki KWENYE IYO SURA YA 74 UMENYOFOANYOFOA AYA NA MISTARI NA KUIPANGA KAMA UNAVOTAKA WEWE .
NA KIBAYA ZAIDI KUNA MAELEZO NA MANENO ULIOYAACHA NDANI YA IZO AYA eti unawekea dot (......) unaweka dot kwenye mambo ya msingi kama hayo (na umefanya ivo kwa lengo la kuharibu maana iliyokusudiwa na mwandishi)
NA NDIO MICHEZO NA UJANJA AMBAYO HUWA MNAFANYA KWENYE NENO LA MUNGU (unakosa heshima hata kwa neno la mungu ndugu yangu)
SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)
na hiyo inathibitisha NAMNA UNAVO SOMAGA BIBLIA (kwa kuchomoachomoa vitu unavotaka wewe kisha unaharibu maana ya mwandishi) pole sana
"kama unafanyia ujanja na uhuni vitabu vidogo kama ivo itakuwaje itakuwaje kwenye biblia ? (neno la Mungu)"
SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)
leta maelezo ulioyaacho kwenye izo dot(......)
na usipoleta naomba usirudi