Majesuit ndio walimuua Abraham Lincoln

Majesuit ndio walimuua Abraham Lincoln

Mbona unapaniki, muendelezo wa najesuit ushakuja na nishapost halafu sipangiwi ,coz naandaa mwenyewe,

Kuhusu mauaji ya kuua watakatifu nishaelezea hilo kwa details ,kwa faida ya wengi nitaurejesha huo uzi ukiwa umeshiba


KUHUSU CONSTANTINE

MBONA HATA MAPADRI NA MAPAPA WAMEKIRI HILO?

WEWE NI MAAMUMA?

KATIKA KITABU CHA WAKATORIKI KIITWACHO

BUSTANI YA KATEKISTA

Ukurasa - 74
Swali: KWA NINI TUNASALI SIKU YA JUMAPILI SIO SABATO?
Jibu: Kihistoria tunaelewa kwamba wakristo wa kwanza waliendelea kuadhimisha siku ya Bwana Jumamosi, walivyozoea wayahudi; hasa wakristo waliotoka dini ya kiyahudi......
Wale ambao walikuwa wanatoka upagani, hawakujisikia kuwa wanabanwa na sheria zile.........
Sababu nyingine ya kusali Jumapili ni hii; wafuasi wa Yesu walitaka kujitofautisha na waamini wa dini ya kiyahudi walioadhimisha ibada siku ya Jumamosi......
Polepole wakristo wakaanza kuzoea kukutana, kusali, kusoma masomo yao na kumega mkate siku ya kwanza.....
Ndivyo, tarehe 03/03/321, mfalme Konstantino alivyotangaza rasmi kwamba Jumapili iwe SIKU YA BWANA, wakristo wapumzike na kusali. Hayo ndiyo mapokeo ya Makanisa mengi.....

BUSTANI YA KATEKISTA CHA PADRE RAPHAEL ROGEAU W.F.
PUBLISHING-benedictine publications ndanda-peramiho ukurasa wa 74


SASA WEWE NA PADRE RAPHAEL ROGEAU NANI NI MUONGO?

UNAANZA KUKANA MAPADRE WAKO WALIOKUINGIZA HUKO RC?

NINA NUKUU HADI ZA PADRE TITUS AMIGU




Vitabu hivi vipo maktaba au bookshop za RC vinauzwa
acha ujinga na ujanjaujanja kijana (unatumia ujanja ujanja kutuaminisha UONGO)
unaleta ujanja ujanja kwenye vitu vya msingi (kawadanganye kwenye makambi yenu huko ndo watakubali ujinga wako)

DA AISEE SIKUFIKIRI KAMA WEWE NI MUHUNI KIASI ICHO (yaani unalazimisha nyeupe iwe nyeusi)

sasa naomba nifunue huo ujanja ujanja uliotumia hapo kwenye icho kitabu (unataka kudanganya watu wasio nacho icho kitabu)

ulichokifanya ndugu arooni ni hiki KWENYE IYO SURA YA 74 UMENYOFOANYOFOA AYA NA MISTARI NA KUIPANGA KAMA UNAVOTAKA WEWE .
NA KIBAYA ZAIDI KUNA MAELEZO NA MANENO ULIOYAACHA NDANI YA IZO AYA eti unawekea dot (......) unaweka dot kwenye mambo ya msingi kama hayo (
na umefanya ivo kwa lengo la kuharibu maana iliyokusudiwa na mwandishi)
NA NDIO MICHEZO NA UJANJA AMBAYO HUWA MNAFANYA KWENYE NENO LA MUNGU (unakosa heshima hata kwa neno la mungu ndugu yangu)

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

na hiyo inathibitisha NAMNA UNAVO SOMAGA BIBLIA (kwa kuchomoachomoa vitu unavotaka wewe kisha unaharibu maana ya mwandishi) pole sana


"kama unafanyia ujanja na uhuni vitabu vidogo kama ivo itakuwaje itakuwaje kwenye biblia ? (neno la Mungu)"

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

leta maelezo ulioyaacho kwenye izo dot(......)
na usipoleta naomba usirudi
 
jibu kwanza maswali unayoyakimbia hapo juu hapo juu kuhusu sabato ya kiyahudi na sabato yako nilokuuliza

then ukisha jibu ndo NIKUUMBUE KUHSU CONTANTINE NA ICHO KIJARIDA CHAKO HAPO JUU unachodai kipo kwenye library za wakatoliki

si tunajibu yako tena kwa kirefu na mapana
nimeishakuuliza maswali lukuki hujibu leta majibu kwanza
na kama umeshindwa omba usaidiwe
Kwahiyo unakataa kuhusu hicho kitabu ?
 
acha ujinga na ujanjaujanja kijana (unatumia ujanja ujanja kutuaminisha UONGO)
unaleta ujanja ujanja kwenye vitu vya msingi (kawadanganye kwenye makambi yenu huko ndo watakubali ujinga wako)

DA AISEE SIKUFIKIRI KAMA WEWE NI MUHUNI KIASI ICHO (yaani unalazimisha nyeupe iwe nyeusi)

sasa naomba nifunue huo ujanja ujanja uliotumia hapo kwenye icho kitabu (unataka kudanganya watu wasio nacho icho kitabu)

ulichokifanya ndugu arooni ni hiki KWENYE IYO SURA YA 74 UMENYOFOANYOFOA AYA NA MISTARI NA KUIPANGA KAMA UNAVOTAKA WEWE .
NA KIBAYA ZAIDI KUNA MAELEZO NA MANENO ULIOYAACHA NDANI YA IZO AYA eti unawekea dot (......) unaweka dot kwenye mambo ya msingi kama hayo (
na umefanya ivo kwa lengo la kuharibu maana iliyokusudiwa na mwandishi)
NA NDIO MICHEZO NA UJANJA AMBAYO HUWA MNAFANYA KWENYE NENO LA MUNGU (unakosa heshima hata kwa neno la mungu ndugu yangu)

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

na hiyo inathibitisha NAMNA UNAVO SOMAGA BIBLIA (kwa kuchomoachomoa vitu unavotaka wewe kisha unaharibu maana ya mwandishi) pole sana


"kama unafanyia ujanja na uhuni vitabu vidogo kama ivo itakuwaje itakuwaje kwenye biblia ? (neno la Mungu)"

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

leta maelezo ulioyaacho kwenye izo dot(......)
na usipoleta naomba usirudi
Nimenukuu kama kilivyoandikwa,kama ni uongo leta wewe cha ukweli hapa
 
acha ujinga na ujanjaujanja kijana (unatumia ujanja ujanja kutuaminisha UONGO)
unaleta ujanja ujanja kwenye vitu vya msingi (kawadanganye kwenye makambi yenu huko ndo watakubali ujinga wako)

DA AISEE SIKUFIKIRI KAMA WEWE NI MUHUNI KIASI ICHO (yaani unalazimisha nyeupe iwe nyeusi)

sasa naomba nifunue huo ujanja ujanja uliotumia hapo kwenye icho kitabu (unataka kudanganya watu wasio nacho icho kitabu)

ulichokifanya ndugu arooni ni hiki KWENYE IYO SURA YA 74 UMENYOFOANYOFOA AYA NA MISTARI NA KUIPANGA KAMA UNAVOTAKA WEWE .
NA KIBAYA ZAIDI KUNA MAELEZO NA MANENO ULIOYAACHA NDANI YA IZO AYA eti unawekea dot (......) unaweka dot kwenye mambo ya msingi kama hayo (
na umefanya ivo kwa lengo la kuharibu maana iliyokusudiwa na mwandishi)
NA NDIO MICHEZO NA UJANJA AMBAYO HUWA MNAFANYA KWENYE NENO LA MUNGU (unakosa heshima hata kwa neno la mungu ndugu yangu)

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

na hiyo inathibitisha NAMNA UNAVO SOMAGA BIBLIA (kwa kuchomoachomoa vitu unavotaka wewe kisha unaharibu maana ya mwandishi) pole sana


"kama unafanyia ujanja na uhuni vitabu vidogo kama ivo itakuwaje itakuwaje kwenye biblia ? (neno la Mungu)"

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

leta maelezo ulioyaacho kwenye izo dot(......)
na usipoleta naomba usirudi
SIJAFUPISHA WALA NINI


KAMA NIMEFUPISHA HAYO MAJIBU YA PADRE

LETA WEWE AMBAYO HAYAJAFUPISHWA

TUKATE MZIZI WA FITINA
 
Uelewa finyu wa mambo hupelekea mtu kufikia hitimisho la kimakosa sana kama alivyofanya mtoa mada....

Sijui kama mtoa mada anayaelewa maisha ya Lincoln kiualisia maana kama angeliyajua asingeandika thread ya namna hii kabisa...

Lakini siyo mbaya acha aendelee huenda akaja kupata uelewa siku moja akabadilika...
 
Uelewa finyu wa mambo hupelekea mtu kufikia hitimisho la kimakosa sana kama alivyofanya mtoa mada....

Sijui kama mtoa mada anayaelewa maisha ya Lincoln kiualisia maana kama angeliyajua asingeandika thread ya namna hii kabisa...

Lakini siyo mbaya acha aendelee huenda akaja kupata uelewa siku moja akabadilika...
Aisee kama mimi muongo leta data na sio porojo aisee ,mimi nimenukuu na vitabu vya majesuit na MANENO YA LINCOLIN


SASA WEWE , UNASEMA SIYAJUI MAISHA YA LINCOLN WEWE ULIISHI NAE?

PINGA KWA HOJA
 
acha ujinga na ujanjaujanja kijana (unatumia ujanja ujanja kutuaminisha UONGO)
unaleta ujanja ujanja kwenye vitu vya msingi (kawadanganye kwenye makambi yenu huko ndo watakubali ujinga wako)

DA AISEE SIKUFIKIRI KAMA WEWE NI MUHUNI KIASI ICHO (yaani unalazimisha nyeupe iwe nyeusi)

sasa naomba nifunue huo ujanja ujanja uliotumia hapo kwenye icho kitabu (unataka kudanganya watu wasio nacho icho kitabu)

ulichokifanya ndugu arooni ni hiki KWENYE IYO SURA YA 74 UMENYOFOANYOFOA AYA NA MISTARI NA KUIPANGA KAMA UNAVOTAKA WEWE .
NA KIBAYA ZAIDI KUNA MAELEZO NA MANENO ULIOYAACHA NDANI YA IZO AYA eti unawekea dot (......) unaweka dot kwenye mambo ya msingi kama hayo (
na umefanya ivo kwa lengo la kuharibu maana iliyokusudiwa na mwandishi)
NA NDIO MICHEZO NA UJANJA AMBAYO HUWA MNAFANYA KWENYE NENO LA MUNGU (unakosa heshima hata kwa neno la mungu ndugu yangu)

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

na hiyo inathibitisha NAMNA UNAVO SOMAGA BIBLIA (kwa kuchomoachomoa vitu unavotaka wewe kisha unaharibu maana ya mwandishi) pole sana


"kama unafanyia ujanja na uhuni vitabu vidogo kama ivo itakuwaje itakuwaje kwenye biblia ? (neno la Mungu)"

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya humo ulipoweka dot(......) then unganisha na hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74 leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

leta maelezo ulioyaacho kwenye izo dot(......)
na usipoleta naomba usirudi
Huku ukiweweseka ngoja nikutandike na HII NUKUU YA KATEKISIMU

KAMA NADANGANYA NUKUU HAPA PIA AMRI ZILIVYOANDIKWA KWENYE KATEKISIMU


Swali: Siku ya Sabato ni ipi?
Jibu : Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
Swali : Kwa nini tunaabudu jumapili badala ya jumamosi ?
Jibu : Kwa sababu kanisa la katholiki lilihamisha utukufu kutoka
jumamosi kwenda jumapili.
The Convert’s Catechism of Catholic Doctrine by P. Gieremean 1977 pg 50

2b64814abde7a899d4bcb38316dc5b8c.jpg
 
Binafsi huwa nafuatilia sana haya mambo huko YouTube , kwa kweli kuna mambo mchanganyiko na mengi yanalilaumu kanisa la RC, kwa histria tata, ninachojiuliza mbona majibu huwa hayatolewi kutoka kwa wahusika? Kwa kweli ndio maana kwa sasa makanisa mengi katika nchi za ulimwengu wa kwanza hayana wafuasi wengi na mengine yaefungwa. Kimsingi historia ni ngumu ila yatupasa kuiishi BIBLIA na tusiangalie taasisi zetu za kamdhehebu. Mfano kuna clip inaelezea nana RC ilivyoanzisha UISLAM ili tuu kupambana na Jewish state by then, baadae Muhmad akamamua kuasi na kuimarisha kundi hili huko macca and finally akatangaza dini mpya.. Mfano rahisi ni kama Inavyosemekana USA ilianzisha kundi la Alquaida ili kupambana na USSR huko Afganistan ila kwa sasa ni kundi korofi duniani. Tunagalie pia kundi la Islamic state huk Syria na Iraqi linavyoisumbua dunia kwa sasaa. Zaidi pia tujiulize kwanini kuna Kanisa la Mahariki na Kanisha la Magharibi? Inasemekana Orthodox church ndilo lililobeba uhalisia wa ukristo wa kweli zaidi ya RC, kwani RC wapo sana katika misingi ya dini na utawala... Haya yote yanachanganya sana. Hofu yangu ni huko tuendako iwapo watu/ waamini watapata cip hizi kwenye mitandao, hakika itachangia sana kupunguza ustawi wa kanisa la Magharibi kwani wingi wa historia unakatisha tamaa.
 
Uelewa finyu wa mambo hupelekea mtu kufikia hitimisho la kimakosa sana kama alivyofanya mtoa mada....

Sijui kama mtoa mada anayaelewa maisha ya Lincoln kiualisia maana kama angeliyajua asingeandika thread ya namna hii kabisa...

Lakini siyo mbaya acha aendelee huenda akaja kupata uelewa siku moja akabadilika...
Huwa nakuona sana ukijitia kila kitu unajua , kumbe mtupu


Kama hujui bas leo jua Abraham lincoln aliuliwa na majesuit

Hata BARUA KUTOKA KWA DAVIS KWENDA KWA PAPA MPAKA LEO IPO

pitia hapa

Assassination of President Lincoln
 
Aisee kama mimi muongo leta data na sio porojo aisee ,mimi nimenukuu na vitabu vya majesuit na MANENO YA LINCOLIN


SASA WEWE , UNASEMA SIYAJUI MAISHA YA LINCOLN WEWE ULIISHI NAE?

PINGA KWA HOJA
Unaelewa maana ya "kuwa na uelewa finyu" na "kuwa muongo"?

Kunukuu alichosema Lincoln hakuwezi kuhalalisha hitimisho lako,unaweza kumnukuu mtu kasema sokoni ni kil 20 kutoka poit A halafu wewe ukamnukuu halafu ukasema amesema ni mile 200....

Utakuwa umemnukuu lakini hakuna uhusiano wa ulischosema na nukuu ya mhusika....

Kuweza kuelewa maisha ya mtu siyo mpaka uishi naye,unaonesha una matatizo sana ya namna ya kuelewa mambo na nakushauri endelea kujisomea utaelewa mengi....
 
Unaelewa maana ya "kuwa na uelewa finyu" na "kuwa muongo"?

Kunukuu alichosema Lincoln hakuwezi kuhalalisha hitimisho lako,unaweza kumnukuu mtu kasema sokoni ni kil 20 kutoka poit A halafu wewe ukamnukuu halafu ukasema amesema ni mile 200....

Utakuwa umemnukuu lakini hakuna uhusiano wa ulischosema na nukuu ya mhusika....

Kuweza kuelewa maisha ya mtu siyo mpaka uishi naye,unaonesha una matatizo sana ya namna ya kuelewa mambo na nakushauri endelea kujisomea utaelewa mengi....
Jenga acha kubwabwaja ,uzuri nakujua sana ktk mijadala yako

Haya mambo usikurupuke , njoo na data


Abraham lincoln kaanza kuwashutumu MAJESUIT wakitaka kumuua ,hata barua inaonesha hivo

Akaja akauliwa , wewe UPO MBAGALA KIMBANGULILE unabisha ,aliyeuliwa alianza kuwashutumu kabla,


HAKIKA UNA UELEWA MDOGO,
 
Haya mambo yanatia wehu at times bora usikilize muziki tu. Sbb secret organization mambo yake ni ya siri. Sasa kila mtu anakuja na dhana yake. Mfn 9/11 ukisoma kitabu cha Bill Hughes anasema ni Jesuit/catholic work , ukisoma Z. F katika Masters of Deception anasema ni Israel work.. sasa ni confusion tu
 
Uelewa finyu wa mambo hupelekea mtu kufikia hitimisho la kimakosa sana kama alivyofanya mtoa mada....

Sijui kama mtoa mada anayaelewa maisha ya Lincoln kiualisia maana kama angeliyajua asingeandika thread ya namna hii kabisa...

Lakini siyo mbaya acha aendelee huenda akaja kupata uelewa siku moja akabadilika...
ahsante kwa kuliona hilo
de mwache aendelee kukopi na kupesti
 
Huku ukiweweseka ngoja nikutandike na HII NUKUU YA KATEKISIMU

KAMA NADANGANYA NUKUU HAPA PIA AMRI ZILIVYOANDIKWA KWENYE KATEKISIMU


Swali: Siku ya Sabato ni ipi?
Jibu : Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
Swali : Kwa nini tunaabudu jumapili badala ya jumamosi ?
Jibu : Kwa sababu kanisa la katholiki lilihamisha utukufu kutoka
jumamosi kwenda jumapili.
The Convert’s Catechism of Catholic Doctrine by P. Gieremean 1977 pg 50

2b64814abde7a899d4bcb38316dc5b8c.jpg
na le upotoshaji we kihuni uliotaka kwenye kile KITABU CHA BUSTANI YA KATEKISTA umeishanilete maelezo nilio kuomba ?

au umekiri uhuni wako uliotaka kuufanya maana naonà umehqmishia magoli kwenye KATEKISIMU

we endelea kukopi vitu usivovijua
leta maelezo niliokuomba kwenye kile kitabu ulichodai ndo uhamie kwenye katekisimu
 
na le upotoshaji we kihuni uliotaka kwenye kile KITABU CHA BUSTANI YA KATEKISTA umeishanilete maelezo nilio kuomba ?

au umekiri uhuni wako uliotaka kuufanya maana naonà umehqmishia magoli kwenye KATEKISIMU

we endelea kukopi vitu usivovijua
leta maelezo niliokuomba kwenye kile kitabu ulichodai ndo uhamie kwenye katekisimu
Kama maelezo hayo ni ya uongo


LETA WEWE YA UKWELI HAPA , ILI AJULIKANE NANI MUONGO
 
Back
Top Bottom