Majesuit ndio walimuua Abraham Lincoln

Mkuu unwz rusha kwny hii thread links za threads zilizopita?
 
HAL HALI YAKO NI MBAYA KIUJUMLA
 
HAL
HALI YAKO NI MBAYA KIUJUMLA
"heri yao wenye hali mbaya na ngumu katika unyenyekevu wa kweli na kweli yote ndani ya kristo. na ole wao wenye hali nzuri sana na amani ya kubuni katika upotevo......."

AHSANTE NA UBARIKIWE SANA MTUMISHI........

ASUBUHI NJEMA.......
 
Kwan wewe upo wapi kama mwenzio yupo mbagala?
Yaan hapo ndo umethibitisha ulivyo mpumbavu...unajua nlikuwa nafuatilia tu huu mjadala bila kuwa upande wowote maana mi si mtaalam wa mambo haya lkn kwa jibu hili nimekupuuza na kujua ujinga wako
 
"heri yao wenye hali mbaya na ngumu katika unyenyekevu wa kweli na kweli yote ndani ya kristo. na ole wao wenye hali nzuri sana na amani ya kubuni katika upotevo......."

AHSANTE NA UBARIKIWE SANA MTUMISHI........

ASUBUHI NJEMA.......
Unatetea mafundisho ya MNYAMA???usipochunguza Maandiko na kuyaelewa HAKIKA UTAANGAMIA.
 
Nimesoma na nimeona kuwa ww ni moja kati ya watu wazito sana kwenye kufikiri mm sina mengibila nataka ujue kutofautisha kati ya kabbalah na al-kaaba .
Kabbalah ni nn?
Kabbalah ni dhehebu kama madhehebu mengine na lina origin yake kutokea huko israel kwenye dini ya judaism .
Al-kaaba ni nn?

Al kaaba ni nyumba takatifu ndani ya msikiti wa maka ambako hupatikana jiwe kitoka peponi lililoshushwa na malaika jibril kwa nabii muhammad?
Je uislamu una uhusiani na illuminati?
Jibu ni hapana kwa kuwa illuminati na secret societies zoote zile ni fraternal organisations ambazo kazi yake ni kusimamisha the new world order na kuenda kinyume na mungu ni mitume wake na uislamu ni dini .
Ombi langu kwako uwe unachambua kwanza kitu kabla ya kukimbilia keyboard kuanza kuandika eti kwa kuwa una chuki na dini nyengine uwe na siku njema mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…