Hapana ni kwaida sana, ila inatokea kipindi mihemko imekolea sawasawa.
Kama inatokea hovyo hovyo na maji kuwa mengi mara nyingi ni tatizo la kulegea kwa musili ya uume kunakotokana na kujichua kwa muda mrefu au kupenda kufanya mapenzi kwa kujizuia ku-"pizi" ili ukae muda mrefu kifuani kwa mrembo, madhara yake pia ni kulegea kwa misuli hiyo japo ni long term disaster