Maji maji katika uke au uume

teh teh where we dare to talk openly ooyeh
 

Na ukitaka kumbaini mwanamke aliyetoka kuchepuka unamtiaje kabali?
 
Mchezee Uume wake uone uone kama hauto toka ute kilila Kutoka Ute kwa Mwanamme ni maumbile ya Mwanamme.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu na watu8 tunaomba ufafanuzi wenu kwa hili

Kwa kawaida mwanaume huweza kutoa majimaji katika vipindi viwili tofauti;

Preejaculation - ute uzalishwao na cowpers glands kwa minajili ya kupunguza nguvu ya asidi katika urethra.

Ejaculation - ute uzalishwao na prostate glands ukibebeba mbegu za kiume zikokazo kwenye korodani...waswahili huuita ute huu kama manii au bao.

Sasa kwa kadiri nilivyomuelewa binti huyu, wanaume ambao amepata kukutana nao isipokuwa mmoja huwa wanakosa self control ya kuzuia manii kutoka na kujikuta wakimwaga manii kabla hata ya kungonoka.

Kabla ya kungonoka ukiaja ute ute utelewao na cowpers glands ambao nao si lazima utoke kabla ya ngono, mwanaume huwa hatoi uteute...

Uteute wowote unaotoka kabla ni ama mwanaume kakosa self control au ana matatizo tu ya misuli izuiayo bao...
 

umejibu vema..mshana jr amedanganya!mimi ni mtaalamu na ningependa usielezee kitu ambacho hukijui vizuri....sijui unatafutwa umaarufu uonekane mtaalam wa ngono!kaaz kweli!πŸ˜€πŸ˜‘πŸ˜±
 
umejibu vema..mshana jr amedanganya!mimi ni mtaalamu na ningependa usielezee kitu ambacho hukijui vizuri....sijui unatafutwa umaarufu uonekane mtaalam wa ngono!kaaz kweli!πŸ˜€πŸ˜‘πŸ˜±

Sasa ulikuwa wapi muda wote huo? Hapa ni jukwaa huru kila mmoja ana haki ya kuchangia kile anachokifahamu! Natafuta umaarufu JF ili iweje! Una haki ya kukosoa lakini si kwa vijembe na kejeli...mbona Watu 8 hakufanya hivyo? Think big
Nina uhakika na nilichokisema sasa kama wewe ni mtaalam lakini mimi ni mzoefu
 
Last edited by a moderator:

nina muda wa kaz pia muda wa social media....uzoefu si utaalam...huna sababu ya kukasirika ukipewa feedback.....ukitaka kujifunza tulia omba tukuelimishe....tatizo watu wanaweza kuamini uongo unaousema...hapo tu!
 
Last edited by a moderator:
utando wa ndani ya mboo unaitwa columnar epithelium huwa unagland zinazotoa/weka unyevuunyevu ili isishikane...rangi yake ni red....haibadiliki baada ya tendo....nje ya uume ni squmous epithelium rangi yake hutegemea race...haina gland...haitoi secretion.....ni maalumu kwa ajili ya michubuko...rabsha..kwani imetengenezwa na leyers kadhaa tofauti na columnar....ina single layer....so mshana jr usidanganye watu.....haibadiriki rangi....utavunja ndoa za watu bure!take it if you want!
 
nina muda wa kaz pia muda wa social media....uzoefu si utaalam...huna sababu ya kukasirika ukipewa feedback.....ukitaka kujifunza tulia omba tukuelimishe....tatizo watu wanaweza kuamini uongo unaousema...hapo tu!

Haya kaendelee na kazi ....!!!
 
Mchezee Uume wake uone uone kama hauto toka ute kilila Kutoka Ute kwa Mwanamme ni maumbile ya Mwanamme.

Jaman..kwanza kabla cjaendelea na mada, Mshana, thankyu ver much for darasa..pia am sory as niliquit ghafla na yote hii ni sababu ya majukumu. Bak to mzizi, yani kama ni kuuchezea. Nishachezea ad sijui nielezeje jaman. Sijui kama kuna sehemu nimebakiza kuchezea

*I like Jf jaman. Yu guys your ma relief:thumbdown:
 
Last edited by a moderator:
Usijali kabisa
Lakini si mlingoti unasimama Dede? Na mkiperform performance ikoje? End product je? Ni nyepesi au nzito?
 
Usijali kabisa
Lakini si mlingoti unasimama Dede? Na mkiperform performance ikoje? End product je? Ni nyepesi au nzito?

Mlingot unasimama vyema kabisaa n pafomac iko vyema. Sasa hapo kwenye product ndo sijawahi ifuatilia. Labda ndo nianze sa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…