Huelewi ideology ya maji maji you better shut your dump offkinjeketile ngwale manenos....laana ya ushirikina wakati wa maji maji bado inawaandama ndio hawaachi kula albino.yani vituko haviishi,,,wazee ndio wanafaa kua na busara lakini tz hawakuwai juwa maana ya busara..hivi mtu na akili yako utajinyunyizia maji,ujipake mashizi mwili mzima kisha uisimamie risasi kichwakichwa ati itakuogopa ibadilishe njia!!!!!!!!!dumb@sses will always be dumb@sses
Huelewi ideology ya maji maji you better shut your dump offkinjeketile ngwale manenos....laana ya ushirikina wakati wa maji maji bado inawaandama ndio hawaachi kula albino.yani vituko haviishi,,,wazee ndio wanafaa kua na busara lakini tz hawakuwai juwa maana ya busara..hivi mtu na akili yako utajinyunyizia maji,ujipake mashizi mwili mzima kisha uisimamie risasi kichwakichwa ati itakuogopa ibadilishe njia!!!!!!!!!dumb@sses will always be dumb@sses
Lakini jamaa kaongea ukweli. .Huelewi ideology ya maji maji you better shut your dump off
Kaongea ukweli Lakini! Mpaka leo bado tupo wajinga. Tunashindwa hata kuwapa ndugu zetu maji safi na salama ya kunywa! Taifa la viongozi vilaza.Yeah right we are dumb fruitcake, posting your silly analysis on the platform created by dumb Tanzanians, who is dumb now
Jamaa hamuongelei mkwawa. ..kila mtu anajuwa jinsi mkwana na mirambo walivyopambana na mkoloni kufa na kupona ; anauongelea ule ujinga wa kiongozi fulani na plani yake ya maji maji!Kwa kukusaidia tu, Wajerumani mara ya kwanza walishindwa Vita na Mababu zetu akina Mkwawa&Co. ndiyo wakaenda kujipanga upya kwao na kurudi na Majeshi ya kisasa zaidi na kutushinda, hata walichukuwa Kichwa cha Mkwawa na kukipeleka kwao kukichunguza wamekirudisha hivi karibuni, isitoshe mambo ya Kishirikina Afrika yote yapo, ni sehemu ya Uafrika wetu sasa kama unalipinga hili basi una matatizo ya akili, hata Kenya pia Mau Mau ni full ushirikina!
Wewe ni mpumbavu kweli hata kama angewaongoza kuwala nyamaLakini jamaa kaongea ukweli. .
Angepigana kama akina mkwawa vile..Wewe ni mpumbavu kweli hata kama angewaongoza kuwala nyama
Hujui ni taabu kiasi gani na ukatili kiasi gani mjerumani aliwafanyia
Ni bora waliamua kureact kuliko kukubali kukandamizwa hata kama walikufa lakini pia wajerumani nao waliuawa wengi tu
Kinjekitile was genius aliwaondoa vijana wasiwasi na wakaweza kimkabili mjerumani kwa silaha zao duni
Wewe Ulitaka nani aje awapiganie..?
Mamaako?
Wewe kwani maji maji war unaielewa vipi? Sababu unaweza kuta unabwatuka tu hapa kumbe hata majimaji war huifahamu undani wakeAngepigana kama akina mkwawa vile..
Wewe kwani maji maji war unaielewa vipi? Sababu unaweza kuta unabwatuka tu hapa kumbe hata majimaji war huifahamu undani wake
Sishangai wakenya wanavyotroll kuhusu hii war sababu najua hawaelewi kitu wanachoongelea lakini inasikitisha zaidi hata wewe huna hili wala lile kuhusu hiki kitu
C yule demu aliyepimwa Oil na Bil NasNandi ndo nini?
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe hata kama walitumia silaha duni lakini ujumbe ulifikaAcha hizo mjomba..namuongelea kinjekitile hapa.
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe hata kama walitumia silaha duni lakini ujumbe ulifika
Walizuiliwa wasilime mazao yoyote tofauti na pamba ya mjerumani hivyo wengi walikufa njaa sababu ya kuyolima mazao ya chakula ongezea na ukatili, udhalilishaji, uuwaji, unyanyasaji na ukandamizaji wa mjerumani dhidi ya muafrika.
Ni kituko leo muafrika anamdharau muafrika mwenzie aliejaribu kujinasua kwenye makucha ya katili mjerumani sijui mjerumani atafanyaje?
Huu ni ulimbukeni wa hali ya juu na hii si ajabu kwa wakenya sababu wakenya wanajulikana kwa kujiona kama wao sio waafrika wao wanajichukulia kama ni wazungu na huona fahari hata wakitemewa mate usoni alimradi tu hayo mate yatoke kwenye kinywa cha mzungu mwenzao.
Dah aise we ni fala mzungu alikuja kuiba rasilimali za waafrika na kuwatumia waafrika kufanikisha azma yake, hakuja Africa kumfundisha muafrika namna ya kua mzungu you foolMimi naona bora wangekaa na kujifunza kwa mzungu leo hii tungekuwa mbali sanaaa. Kumbe viongozi wetu uloho wa madaraka wameithishwa na mababu zetu.
Lakini ninayoyayaongea yana ukweli ndani yake. Sasa hizo rasimali zetu zilizo chini yetu leo hii mimi na wewe zinatusaidia nini? Si bora wazungu wanaiba na sisi tunakula kidogo! Tanzania yetu ya leo ni maskini kushinda hata siku tuliyopata uhuru..huyo mzungu unayemuona mwizi leo akitukatia kamba tunalala njaaa...mzungu asingetoa hela za ARV watu mngetembea na kilo 5 mjini..achana na mzungu wewe.Dah aise we ni fala mzungu alikuja kuiba rasilimali za waafrika na kuwatumia waafrika kufanikisha azma yake, hakuja Africa kumfundisha muafrika namna ya kua mzungu you fool
Ni sawa na kusema condom iombe ujuzi kwa njemba alieivaa ili nayo iwe inampiga demu miti (how on earth that's making sense?)
Una elimu gani ndugu?
Upo taahira sana kupita maelezo
Lakini ninayoyayaongea yana ukweli ndani yake. Sasa hizo rasimali zetu zilizo chini yetu leo hii mimi na wewe zinatusaidia nini? Si bora wazungu wanaiba na sisi tunakula kidogo! Tanzania yetu ya leo ni maskini kushinda hata siku tuliyopata uhuru..huyo mzungu unayemuona mwizi leo akitukatia kamba tunalala njaaa...mzungu asingetoa hela za ARV watu mngetembea na kilo 5 mjini..achana na mzungu wewe.