MAJI MAJI rebellion 1905-1907(Prove that Tanzanians were dumb since)

MAJI MAJI rebellion 1905-1907(Prove that Tanzanians were dumb since)

Lakini ninayoyayaongea yana ukweli ndani yake. Sasa hizo rasimali zetu zilizo chini yetu leo hii mimi na wewe zinatusaidia nini? Si bora wazungu wanaiba na sisi tunakula kidogo! Tanzania yetu ya leo ni maskini kushinda hata siku tuliyopata uhuru..huyo mzungu unayemuona mwizi leo akitukatia kamba tunalala njaaa...mzungu asingetoa hela za ARV watu mngetembea na kilo 5 mjini..achana na mzungu wewe.

Utaahira wako unajidhihirisha kwa kutokutambua kuwa mzungu alitawala Tanzania kwa muda mrefu kuliko CCM.
 
Na tulipata maendeleo hasa..hivi hospitali ya muhimbili aliijenga nani vile?
Utaahira wako unajidhihirisha kwa kutokutambua kuwa mzungu alitawala Tanzania kwa muda mrefu kuliko CCM.
 
Dumbest of the highest order
Sasa British East Africa unaihesabia kama today's independent Kenya?

Nyie mlienda kama mbwa wa muingereza to serve your master's interests.
Sasa nyie kama Danganyika mna-serve which masters at LDC level? The best way to attack your adversery is to adopt His game by joining Him and beating Him at your own game na hapo we have achieved fully hadi Theresa May akaja Kenya to mend things in anticipatation of a takeover... Sisi tuna-lead the war against it on behalf of Afrikans.
 
But we are not so weak to be beaten up by our own wives.

[“I know I’m not alone,” Kamau says. “Nderitu is doing a good job exposing women who mistreat their husbands.”

Joyce Njoki Mbugua, a married mother of three children, says she supports Njoka’s efforts, as she has witnessed several men’s rights violations.

“He is doing a wonderful job, and I hope he succeeds,” she says. “My sons may refuse to get married if they continue witnessing domestic violence against men.”]

Wewe Mkenya, bofya hapa ujue una mambo ya kujadili na uachane na Watanzania. Tanzania is for men.
https://globalpressjournal.com/afri...tivist-fights-changing-gender-roles-in-kenya/
Men’s Rights Activist Fights Changing Gender Roles in Kenya
https://globalpressjournal.com/afri...tivist-fights-changing-gender-roles-in-kenya/
Kakae chini na wenzio mjadiliane kuhusu ngono na kugandiana mnapofumaniana.
You are more than weak I swear
 
Hiyo haikua rebellion bali ilikua war na utaita ni ujuha tu sababu akili huna

Kinjekitile alitengeneza jeshi lake imara na lenye silaha kama mapanga, mashoka, majembe, pinde, mishale, visu na silaha nyie nyingi na aliwapa mafunzo imara ya kupambana na mjeruumani

Ila kitu kimoja tu ni vipi hizo silaha zingefua dafu mbele ya cha moto cha mjerumani ndio Kinjekitile akaja na slogan kwamba mbele ya Uimara wa jeshi letu na kwa namna tulivyochoshwa na ukatili wa mjerumani basi hizo risasi zitageuka na kua maji kwa kutumia dawa kadhaa

Jeshi lilinolewa na silaha zikatengenezwa na dawa zikasambazwa imani ikawaingia wazawa na mjerumani wakamkabili

Kwa taarifa yako tu wajerani kwa mamia waliuwawa na jeshi la Kinjekitile japo watu wengi walipoteza maisha lakini kuna impact kubwa sana ya kimtazamo na kiujasiri iliibuka miongoni mwa watanzania na wajerumani walipata somo zuri sana.

Ni bora sisi wazee wetu walijinasua na kukataa kukaa kimya pamoja na udhaifu wao kuliko nyie wazee wenu walikua wakiingiziwa miti mpaka sehemu zao za nyuma huku wakimuabudu mzungu kisa tu hawamuwezi

Yaani nyie ni wakunyamaza kimya kabisa mbele ya watanzania kwenye suala la kukataa unyonyaji wa wazungu tulianza kitambo mpaka leo siasa yetu ni ya ujamaa na kujitegemea kitu cha mtanzania peke yake, hakuna siasa ya aina hii kwa mzungu

Ulikua ujinga sana mababu zenu kujianika mbele ya risasi kisa wameoshwa kwa maji, ndio maana wengi mlirithi huo ujinga hadi leo mna kla kitu lakini maskini mwanzo mwisho.
 
You people from the slums are very talkative.Mngekuwa na akili timamu msingeendekeza ukabila na kuwaachia mabepari ardhi yenu.Ninaaaa nyieeee.
Julius Malema kila akiwapa wake up call these people bado wako usingizini. Kipindi fulani wakaja na hoja ya ndani ya EA kuweza kupata haki za kumiliki ardhi ndani ya EA tukawachekiiiii...Kenyans pamoja na huu utani wetu humu suala la ardhi ni ticking bomb soon or later litawalipukia.
 
Trust me they were Damn

Soma British Walivyonwanyorosha Zanzibar

Wali Declare war on Britain 38mins Later wote wakatimua ku Surrender and handover zanzibar to the british...

Hapa Kenya Mau Mau rebellion is Classified as British Empires Worst Encounters alongside

South Africas Boer wars of Independence

Indias war of independence na

Vichy wars na France

Smh!!

Sikuile Hyo JWTZ yao itakuja kuingilia wakenya ndio watatambua Wakenya ni Nani Haswa!!
Hiyo para ya mwisho isome mbele ya wakenya wenzako kisha tizama reaction yao usoni utajua jwtz ni nini hasa.
 
Lakini ninayoyayaongea yana ukweli ndani yake. Sasa hizo rasimali zetu zilizo chini yetu leo hii mimi na wewe zinatusaidia nini? Si bora wazungu wanaiba na sisi tunakula kidogo! Tanzania yetu ya leo ni maskini kushinda hata siku tuliyopata uhuru..huyo mzungu unayemuona mwizi leo akitukatia kamba tunalala njaaa...mzungu asingetoa hela za ARV watu mngetembea na kilo 5 mjini..achana na mzungu wewe.
Kwa maneno Wengine unasema Uhuru na ukoloni bora ukoloni. Hakiyanani nyinyi watu ni wakufunga jiwe na kutupwa baharini. Hivi hamuoni SA wanavyojitahidi kujitoa ktk makucha ya wazungu na miaka 24 baada ya uhuru wao? Na unajiita Mtanzania?
 
Na tulipata maendeleo hasa..hivi hospitali ya muhimbili aliijenga nani vile?
Hapa unafanya kauli ya hiyo jamaa isitiliwe mashaka. Pls pamoja umesoma kama unavyosema fikiri kabla ya kuandika humu
 
Kwa maneno Wengine unasema Uhuru na ukoloni bora ukoloni. Hakiyanani nyinyi watu ni wakufunga jiwe na kutupwa baharini. Hivi hamuoni SA wanavyojitahidi kujitoa ktk makucha ya wazungu na miaka 24 baada ya uhuru wao? Na unajiita Mtanzania?
Mimi ni mtanzania damu 100%. Na ninaipenda nchi yangu sanaaaa. Ila naumia kuona tunashindwa kupata maendeleo ya kweli kwa hiyo hatuna budi kuukubali ukweli na kujifunza kutoka kwa walio bora.
 
Mimi ni mtanzania damu 100%. Na ninaipenda nchi yangu sanaaaa. Ila naumia kuona tunashindwa kupata maendeleo ya kweli kwa hiyo hatuna budi kuukubali ukweli na kujifunza kutoka kwa walio bora.
....Bora ukae kimnya brodah!, You prove them right.
 
Mimi ni mtanzania damu 100%. Na ninaipenda nchi yangu sanaaaa. Ila naumia kuona tunashindwa kupata maendeleo ya kweli kwa hiyo hatuna budi kuukubali ukweli na kujifunza kutoka kwa walio bora.
So bora tungetawaliwa? Is that what you are saying? Nah my countrey spare me this ideas please....uzalendo ni Imani na hapa niko nataifuta kwako bado sijaiona kama unahisi tungewaacha ili tujifunze maendeleo kwao I don't think I will find it in you
 
Ulikua ujinga sana mababu zenu kujianika mbele ya risasi kisa wameoshwa kwa maji, ndio maana wengi mlirithi huo ujinga hadi leo mna kla kitu lakini maskini mwanzo mwisho.
Ni bora kuliko kukubali mateso ya mjerumani

Kwahiyo wewe Ulitaka wasimkabili mjerumani mpaka wavumbue nuclear bomb 💣?

Akili huna hata moja,
 
Mimi naishia hapa kama mdau mmoja alivyotoa ushauri. Unajuwa kabisa mimi ni mzalendo 100% . ninayoyaongea ni kwa faida ya sisi wote. Tuchemshe ubongo na tunawatendee haki wananchi wetu.
So bora tungetawaliwa? Is that what you are saying? Nah my countrey spare me this ideas please....uzalendo ni Imani na hapa niko nataifuta kwako bado sijaiona kama unahisi tungewaacha ili tujifunze maendeleo kwao I don't think I will find it in you
 
Hii thread imenipa picture ni jinsi gani watu hawana akili

Binafsi nimesoma precolonial Africa na postcolonial Africa nimesoma pia torture, brutality, exploitation, killing, manipulation, discrimination, scrambling, alienation, ambush and all sorts of animalistic and barbaric deeds outsiders they did towards Africa and Africans

It's so astonishing to see a modern African disgrace whatever the means their ancestors used to get rid from the western animals kiukweli inashangaza.
 
Back
Top Bottom