princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
- Thread starter
- #61
ungejua nmeanza lini kujitibu, ungenionea hurumaKumbe bora ukae na tatizo kuliko kunywa dawa!!!! Kila la kheri.
nimezinywa mpaka nahisi nazo zinazidisha matatizo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungejua nmeanza lini kujitibu, ungenionea hurumaKumbe bora ukae na tatizo kuliko kunywa dawa!!!! Kila la kheri.
ungejua nmeanza lini kujitibu, ungenionea huruma
nimezinywa mpaka nahisi nazo zinazidisha matatizo....
Habari:
Jf doctors na wadau wengine..
ningependa kuuliza kuhusu mabadiliko ya mwili wangu,Kama kuna mmoja wenu anafahamu.
Tangu juzi kila asubuhi na mchana mida Fulani, yananitoka maji maji meupe ya kiasi cha kuloanisha ukeni na nguo ya ndani Ila sio yanavuja mpaka nguo za nje...
ni meupe Kama maji ya kunywa ,meupe kabisa
na hayana harufu kabisa.
Ila ukiyashika inakua Kama maji baada ya mda yanaganda na kunata nata..
ni ishara ya nini ? au Nina tatizo mahala,? je yana madhara?
(nimetoka kumaliza dozi ya u.t.i jana , piroxicam &nitrofurantion)
[emoji16][emoji16] naogopaUsikae muda mrefu bila kukalia msumari wa bati
seriousNenda ukapime mm ntalipia dawa
serious
siogopiUnaogopa kulipiwa?!
siogopi
sawa nikapime lini sasaBasi ondoa shaka
siogopi
sawa nikapime lini sasa
kesho nitakwendaWw tu
pia sio mbayaAu unataka nkupeleke?!
Hizo ni nyege tuuh! Huna lolote jipya.asante kwa kunielewesha
hapanaHizo ni nyege tuuh! Huna lolote jipya.
pia sio mbaya
Hizo nyege njoo nikutandike katerero maji yote yatavuja na kukauka na hauta yaona tena..!hapana
nimeona sio kawaida ndio maana nikauliza
maambukizi gani
asante kwa maelekezoNi kitu cha kawaida kabisa na kinawatokea wanawake wengi wenye afya njema nyakati mbali za siku mara nyingi ni asubuhi lakini pia inaweza kutokea hata mchana na nyakati tofauti, lakini kupata uhakika ni vizuri kumuona doctor ili ayaangalie maji hayo kama ni salama.