Maji ya baraka ya (RC) vs maji ya upako ya (Mwamposa)

Unakufuru,nafasi ya Bwana Yesu haichukuliwi na yeyote.Bikira Maria ni mtu wa kawaida tu.
 
Ndugu wagalatia. Mimi ninayo maji kutoka Vatican direct. Yamebarikiwa na PAPA mwenyewe na yanatoka ktk Chemchem takatifu kabisa.
Chupa ya lita nzima nauza laki 5 tu.
Nimeweka kwenye zile chupa za Azam lkn hakuna lebo.
Sasa msije mkadhani ni ya Azam.
Nimeona nitoe taarifa mapema kabisa.

Ukinywa hayo maji shida zote kwaheri. Mpk wagumbi km MK254 au Mlaleo yanawatibu fasta.

Weka oda yako mapema.
Nimeleta kidogo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…