Maji ya Kilimanjaro yamekata pumzi

Moshi ni Kilimanjaro pure drinking water, Dar napiga Hill au Canadian Pure kwa sasa, mwanzo ilikuwa uhai na masafi. Mbeya natumiaga Dew drop...bonge la kiburudisho!
Mkuu jaribu hiyo maji kutoka mmereseni hapo marangu kitu Tanza... Mbeya tumeenda sawa hapo Dew drop yapo na ubora wa kutosha.
 
Chukiii.
S
Ijui uko pori gani ila maji ni Kilimanjaro peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nahisi Kilimanjaro iko under license sababu hata package yake sio nzuri, chupa za siku hizi laini mno kiasi kwamba ukishika inabonyea, japo bado mazuri yapo pia.
Nawashauri kampuni ya Kilinjaro ifuatilie huenda kuna wizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi wanatengeneza hapa hapa dar lazima yawe na chumvi nyingi
Maji ni Rungwe na Dew Drop
 
Achilia kote huko, yananyweka mpaka ikulu
 
AISEEE TUNA SAFARI NDEFU SANA WATANZANIA....MAANA PIREXY WAPO WENGI SANA KWENYE KILA KITU KWAKWELI
 
Hamia ya viroba mkuu full kusikia kile kiharufu cha water gard yaani ni matam sana kwa sisi walala hoi
Maji haya Kwa sasa yamepoteza ubora hasa yanayopatikana Dar es salaam.

Yana chumvi na ukakasi, siyapendi.
 
Acheni kununua maji kwa machinga barabarani ndio kinachowagharimu. Nunueni maji kwa mawakala au maduka mnayoyaamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona kwenye mkutano mkubwa wa Mazingira majuzi jukwaa la Fikra cheki maji hayo. Sio kilimanjaro
 

Attachments

  • 20190210_172053.jpg
    428.2 KB · Views: 26
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…