Maji ya Kilimanjaro yapata tuzo ya Superbrands Afrika Mashariki

luambo makiadi

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2017
Posts
10,602
Reaction score
8,798
Utafiti uliofanywa kwa bidhaa zisizo za vilevi pamoja na maji umeyapa maji ya Kilimanjaro tuzo ya Superbrand Afrika mashariki kutokana na ubora wake.

Maji ya Kilimanjaro huzalishwa na kampuni ya Ipp katika kiwanda chá bonite kilichopo mjini Moshi, moja ya makampuni ya Hayati Dkt Reginald Mengi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…