luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Exactly maji halisi ya Kilimanjaro ni yale yanayozalishwa Bonite Bottlers,Moshi haya mengine yanayozalishwa Dar hayana ladha japo wenyewe wanaficha kwamba yanazalishwa DarYanayozalishwa Dar Mabovu sana...hayana ladha, Chumvi kama yote!
Na yanayozalishwa Dar ndio mengiExactly maji halisi ya Kilimanjaro ni yale yanayozalishwa Bonite Bottlers,Moshi haya mengine yanayozalishwa Dar hayana ladha japo wenyewe wanaficha kwamba yanazalishwa Dar
Nini shida mkuu? Mbona maisha ndio haya haya!IPP hizi tuzo za super brand wanajipaga tu
Maji yameharibika ka nini. Maji yamekuwa ya hovyo kabisa eti super brand, super brand ya nyoko.
Za chupa au za kopoMaji mazuri ila soda za coca-cola zimekuww mbaya..
NaamMaji bora africa hayo
I
Maji ya Kilimanjaro yanazalishwa bonite Moshi tu n'a kusambazwaYanayozalishwa Dar Mabovu sana...hayana ladha, Chumvi kama yote!
Hayo unayokunywa sio halisi kuna wachakachuajiIPP hizi tuzo za super brand wanajipaga tu
Maji yameharibika ka nini. Maji yamekuwa ya hovyo kabisa eti super brand, super brand ya nyoko.
Maji halisi ya Kilimanjaro ni yale yanayozalishwa Moshi tuna yanayozalishwa dar ndio mengi
Maji original ya Kilimanjaro ni yale yatokayo Moshi tuLabda walikagua yanayotoka moshi pekee.
Huku kwingine kama kanda ya ziwa, maji ya kilimanjaro hayana tofaut na uhai.
Ni mataputapu
Tupã kuleSio dewdrop??
Nadhani kitengo cha maabara ya kiwanda kipunguze kias cha salt na marekebisho madogo.Yanayozalishwa Dar Mabovu sana...hayana ladha, Chumvi kama yote!
Uhai ni best ukizungumzia kwenye ladha na ingredients zingine ,sema tu bado kampuni changa.Labda walikagua yanayotoka moshi pekee.
Huku kwingine kama kanda ya ziwa, maji ya kilimanjaro hayana tofaut na uhai.
Ni mataputapu
Kuna yale ya Babati ndio uchafu kabisa yana magadiYanayozalishwa Dar Mabovu sana...hayana ladha, Chumvi kama yote!