Bangida
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 2,406
- 11,258
Azam n kampuni changa?Uhai ni best ukizungumzia kwenye ladha na ingredients zingine ,sema tu bado kampuni changa.
Au hujui kampuni gani inatengeneza maji ya uhai mkuu.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam n kampuni changa?Uhai ni best ukizungumzia kwenye ladha na ingredients zingine ,sema tu bado kampuni changa.
Kuna yale ya Babati ndio uchafu kabisa yana magadi
Maji original ya Kilimanjaro ni yale ya bonite MoshiNadhani kitengo cha maabara ya kiwanda kipunguze kias cha salt na marekebisho madogo.
Nafahamu ni AzamAzam n kampuni changa?
Au hujui kampuni gani inatengeneza maji ya uhai mkuu.?
Ni kweli Mkuu. Ladha ile ya kilimanjaro ya zamani sasa hivi unaipata kwa maji ya Udzugwa ya Moro.Exactly maji halisi ya Kilimanjaro ni yale yanayozalishwa Bonite Bottlers,Moshi haya mengine yanayozalishwa Dar hayana ladha japo wenyewe wanaficha kwamba yanazalishwa Dar
Toka walipoanza Kuya pack kwenye karatasi na sio kwenye box wakaagana kabisa na ubora wa radha ya majiIPP hizi tuzo za super brand wanajipaga tu
Maji yameharibika ka nini. Maji yamekuwa ya hovyo kabisa eti super brand, super brand ya nyoko.
Uhai haya haya ya chumvi na kuumiza kichwa?Uhai ni best ukizungumzia kwenye ladha na ingredients zingine ,sema tu bado kampuni changa.
Nilijua mimi tu. Aisee ni mbaya sana.Maji mazuri ila soda za coca-cola zimekuww mbaya..
Si kweli. Hata Dar wanazalishaMaji ya Kilimanjaro yanazalishwa bonite Moshi tu n'a kusambazwa
Wajipe huko kwenye maji huku kwenye media wamepwaya sanaIPP hizi tuzo za super brand wanajipaga tu
Maji yameharibika ka nini. Maji yamekuwa ya hovyo kabisa eti super brand, super brand ya nyoko.
Kiwanda kipi mkuuSi kweli. Hata Dar wanazalisha
Mkuu hiyo wala siosiri kwa hapa Dar yanazalishwa na kampuni ya Coca-Cola yaani wanachukua formula ileile kama yanavyozalishwa Bonite Bottlers Moshi ....ndiomana kuna utofauti mkubwa wa ladhaKiwanda kipi mkuu
Zamani labda,hayo ubora wake sawa na maji poa au masafi.Uhai ni best ukizungumzia kwenye ladha na ingredients zingine ,sema tu bado kampuni changa.
Wewe wasemaKilimanjaro hii hii yanayozidiwa hata na Hill na afya kwa ladha,wamebakia kuuzia jina
Kweli vinywa tumetofautiana sisi wàja!Utafiti uliofanywa kwa bidhaa zisizo za vilevi pamoja na maji umeyapa maji ya Kilimanjaro tuzo ya Superbrand Afrika mashariki kutokana na ubora wake.
Maji ya Kilimanjaro huzalishwa na kampuni ya Ipp katika kiwanda chá bonite kilichopo mjini Moshi, moja ya makampuni ya Hayati Dkt Reginald Mengi.
Mkuu uhai ina chumvi😆😆😆! DahZamani labda,hayo ubora wake sawa na maji poa au masafi.
Bora masafi kuliko uhai.
Chumvi ya uhai unaungia mboga
Hata bia zinazozalishwa upande ule huwa ni tamu sana maji ya kule mazuriMaji halisi ya Kilimanjaro ni yale yanayozalishwa Moshi tu
Coca ya bonite ni nzuri sana ina ladha nzuri mnoMaji mazuri ila soda za coca-cola zimekuww mbaya..