Maji ya Kilimanjaro yapata tuzo ya Superbrands Afrika Mashariki

Kweli vinywa tumetofautiana sisi wàja!
Mimi nikilikamata "bombonya" la Uhai baridi, hunistarehesha hadi nasinzia.
 
Zamani labda,hayo ubora wake sawa na maji poa au masafi.
Bora masafi kuliko uhai.
Chumvi ya uhai unaungia mboga
Mkuu uhai ina chumvi😆😆😆! Dah
Kweli umeamuwa liwalo na liwe na kinywa cha mtu huonja kitu na kutafsiri kijisikiavyo , isee
 
Habari ya Muji ni dew drop[emoji97][emoji97]# Hiyo imeenda imeeeenda hiyooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…