Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Duniani kuna mambo mengi ya ajabu!
• Unatambua kuwa maji ya maiti ndo uwaga kunatoka dawa inayoitwa mnyonshe(au shuntama) daa ni huzuni ili jambo sio pouwa maji ya maiti (ndo maji pekee wanayotumia waganga wa kienyeji kutengeneza dawa ya kuwatuliza wanaume ili wasiwe na neno ndani ya nyumba. hii ni dhambi kubwa.
• Maji ya maiti yanafanya kazi za kishirikina kama kutoa mazindiko hatari kuhusu mali na vitu mbali mbali. Pamoja na kuwaloga wanaume. Daaah, nashindwa nifafanue kivip ili nieleweke sana.
• Wewe maji ya mfu unawekewa kwa msosi nawe unakula! Je... Daah ... Inauma, nyie wanawake mapenzi sio kuloga jamani.
Ngoja niishie hapo kwa leo. Aisee ila inauma, na bado unahitaji baba bora...😭😭😭😭😭😭😭😭👉😭👉😭