Maji ya ziwa Victoria yafika Mgongoro - Jimbo la Igunga

Maji ya ziwa Victoria yafika Mgongoro - Jimbo la Igunga

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
MAJI YA ZIWA VICTORIA YAFIKA MGONGORO - JIMBO LA IGUNGA

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Igunga (IGUWASA) imefanikiwa kufikisha huduma ya maji safi ya Ziwa Victoria kwenye Kijiji cha Mgongoro, Jimbo la Igunga. Huduma ya Maji imefika kijiji cha Mgongoro kufuatia IGUWASA kulaza bomba la maji safi mpaka kwenye matenki ya maji yanayohudumia Kijiji cha Mgongoro yaliyopo kijiji cha Mwalala, kata ya Nguvumoja.

Mradi unatarajia kuhudumia vitongoji viwili vya Mwamayoka na Mwamsunga, ambavyo vina jumla ya wakazi 4,480.

#KaziNaMaendeleo
#KaziIendelee

indexmkpo.jpg

indexiopkjh.jpg

indextygfds.jpg
 
Ila kusema ukweli wa Mungu mama kuna nambo anajitahidi sana sema ndo hivyo hana bahati ya kuzungumzwa sana kama wengine.....pia wapo wanaomchukia wanaotumia nguvu nyingi kujaribu kuficha.
 
Ila jusema ukweli wa Mungu mama kuna nambo anajitahidi sana sema ndo hivyo hana bahati ya kuzungumzwa sana kama wengine.....pia wapo wanaomchukia wanaotumia nguvu nyingi kujaribu kuficha.
Katika viongozi wanaofanya kazi kidigital ni huyu mama hana baya namtu kwakweli niroho za wafuasi wa mwendazake ndozinamchafua angejua mapema angewalamba red card wote kuanza upya si ujinga alisema bwana Mrisho Mpoto

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Ila jusema ukweli wa Mungu mama kuna nambo anajitahidi sana sema ndo hivyo hana bahati ya kuzungumzwa sana kama wengine.....pia wapo wanaomchukia wanaotumia nguvu nyingi kujaribu kuficha.
Fisi fisi fisi WAMEMZUMGUKA KOONA ZOTE.
 
Back
Top Bottom