Maji yameniponya?

Maji yameniponya?

Kichwa Ngumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,726
Reaction score
314
Heshima kwenu!

Nilikuwa na tatizo la kukosa hamu ya kula kwa miaka zaidi ya Saba nimetumia Dawa za minyoo, nimetumia viyamini B Lakini sikupata unafuu wowote. miezi mitatu iliyopita nilienda kupima afya pamoja na magonjwa mengine niliambiwa ninaminyoo nikapewa Dawa lakini chakushangaza baada ya wiki tatu nilipoenda kupima tena nikaambiwa Nina minyoo tena; nilibadilishiwa Dawa lakini baada ya wiki tatu nikaenda kupima sikuwa na minyoo.

kabla ya heka heka za kupima nilishauriwa kunywa maji mengi nilikunywa niwezavyo bila mafaninikio. wiki mbili zilizopita nilikutana na ratiba ya kunywa maji Facebook na baada ya kuifuata ile ratiba siku moja baada ya kuifuata hiyo ratiba ninaham ya kula ajabu chakula ambacho nilikuwa nakula simalizi sasa namaliza na si shibi. na baada ya muda njaa inaniuma.

Je maji yameniponya?
 

Attachments

  • 1405870920925.jpg
    1405870920925.jpg
    55.2 KB · Views: 382
Heshima kwenu;
nilikuwa na tatizo la kukosa hamu ya kula kwa miaka zaidi ya Saba nimetumia Dawa za minyoo, nimetumia viyamini B Lakini sikupata unafuu wowote. miezi mitatu iliyopita nilienda kupima afya pamoja na magonjwa mengine niliambiwa ninaminyoo nikapewa Dawa lakini chakushangaza baada ya wiki tatu nilipoenda kupima tena nikaambiwa Nina minyoo tena; nilibadilishiwa Dawa lakini baada ya wiki tatu nikaenda kupima sikuwa na minyoo.
kabla ya heka heka za kupima nilishauriwa kunywa maji mengi nilikunywa niwezavyo bila mafaninikio. wiki mbili zilizopita nilikutana na ratiba ya kunywa maji Facebook na baada ya kuifuata ile ratiba siku moja baada ya kuifuata hiyo ratiba ninaham ya kula ajabu chakula ambacho nilikuwa nakula simalizi sasa namaliza na si shibi. na baada ya muda njaa inaniuma. Je maji yameniponya?
Maji ndio yamekuponya mkuu hujuwi Maji ya Uvuguvugu ni tiba kila Maradhi? Hebu Tembelea hapa ujuwe faida ya kunywa Maji ya Uvuguvugu bonyeza hapa.[h=1]Topic: Muujiza ya matibabu kwa maji ya moto kunywa[/h]
 
Maji ndiyo kila kitu, miaka yote mi nafundisha hapa juu ya umhimu wa maji mwilini ulikuwa huzioni post zangu? tembelea maajabuyamaji.net uone maajabu au huko huko facebook tafuta page ya maajabu ya maji
 
Mkuu Minyoo wako waliyomo tumboni wamenenepa na kuwa mabonge, ndyiyo maana unasikia njaa fasta ...ujue munashaea chakula ,maji na hao wadudu !
 
Madukani kuna vikombe vyenye vipimo kama hiki kwenye picha, tembelea hiyo kurasa ya maajabuyamaji.net utapata fomula ya jumla kwa mjibu wa uzito wako. KAMA UNA SWALI ZAIDI LIULIZE TAFADHALI

Ujazo.png



Tatizo hapo ni kipimo cha glasi maana siku hizi glasi ni nyingi ajabu.
 
Back
Top Bottom