Heshima mbele wakuu..
Nina mwezi wa tatu sasa nikiamka tu alfajiri wakati naenda haja ndogo lazima nigonge mag moja ya maji then narudi kulala.
_hii nafanya kabla hata sijaswaki na baada ya hapo utumbo huwa nasikia utumbo ukijonyoosha na ikifika muda rasmi wa mimi kuamka lazima nipate haja kubwa..na baada ya hapo huwa najisika mwepesi sana!
_kabla ya hapo nilikuwa nasumbuliwa na malaria kila mwezi lazima ninywe dozi ila wakuu kwa sasa huko pharmacy nadhani wananitafuta sana mteja wao.
__sio mafua wala kikohozi_
Glory be to God almighty
we ndo unastukia leo?
Mi ndo maisha yangu hayo, asubuhi kabla sijala wala kupiga mswaki najidunga lt zangu 2 , mchana lt 2, ucku nacheza na 2 au 1
nina miaka 6 sasa sijui dawa za hisani ya wa America zinauzwaje!
Ila huyo mwenzio anazidisha, kunywa mpaka lita 3.7 kwa siku na si zaidi ya hapo, kwa maelezo zaidi nenda hapa
Si utani. Maji ni tiba ya kwanA
we ndo unastukia leo?
Mi ndo maisha yangu hayo, asubuhi kabla sijala wala kupiga mswaki najidunga lt zangu 2 , mchana lt 2, ucku nacheza na 2 au 1
nina miaka 6 sasa sijui dawa za hisani ya wa America zinauzwaje!
Fix izo, we unajua ujazo wa 2 lts? Alafu eti asubuhi? Au una maana glass mbili?
mkuu kama ulivyosema kuwa unajidunga lita 2 asubuhi mara tu unapoamka, kweli maji ni afya lakini hiyo yako sio afya sasa, kuna kiwango cha maji kwa muda maalum, sio kukikita tu mimaji kama vile wamwagilia shamba, huwezi kunambia kuwa wanywa lita 2 with 15 mnts labda kamawewe ni mgonjwa, hiyo sio kiafya.sio fiksi mkuu TECHMAN lt2 ni chamtoto sana mbona...kama unabisha uje maskani tuwekeane dau, najidunga lt3 za maji ya uvuguvugu ,lasivyo dau lote linabaki kwako!
mkuu kama ulivyosema kuwa unajidunga lita 2 asubuhi mara tu unapoamka, kweli maji ni afya lakini hiyo yako sio afya sasa, kuna kiwango cha maji kwa muda maalum, sio kukikita tu mimaji kama vile wamwagilia shamba, huwezi kunambia kuwa wanywa lita 2 with 15 mnts labda kamawewe ni mgonjwa, hiyo sio kiafya.
Mzizi Mkavu shukrani kwa kutembelea uzi wangu huu ila hujaeleza tunywe maji kiasi gani na saa ngapi
Kwa Mtu Mgonjwa wa Maradhi yoyote inatakikana awe anakunywausemayo ni kweli kiongozi ..maana hata dokta wangu MziziMkavu alinishauri na ndio maana nikaacha kunywa lt3
ahsante kwa ushauri mkuu
Kwa Mtu Mgonjwa wa Maradhi yoyote inatakikana awe anakunywa
maji Uvuguvugu unapo amka Asubuhi kabla ya kupiga mswaki unywe Glasi 2 za Maji ya Uvuguvugu na baada ya kupiga
Mswaki anywe glasi 1 na kabla ya kunywa chai unywe Glasi moja ya maji yaUvuguvugu kila siku afanye hivyo kwa wakati wa asubuhi.
Na Wakati wa mchana Dakika 15 au dakika 30 kabla ya kula chakula cha mchana unywe Maji ya Uvuguvugu Glasi 1.
Na Wakati wa chakula cha Usiku unatakiwa unywe Maji ya Uvuguvugu Glasi 2 kabla ya kula chakula cha usiku.
na unywe Maji ya Uvuguvugu Glasi 1 kabla ya kwenda kulala usiku.