Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,094
- 1,366
Nafurahi umenialika.
Namjua sana Masoud, mmoja wa wake zake aliyewahi kuoa ni jirani yetu pale Udoe. Huyo hi msanii tu aka tapeli. Utaoaje halafu umwache mkeo kwao miaka yote?
Masikini Fatma, alikuwa akihangaika kumsaidia Dadake Marehemu Bi Khadija, kuuza umamalishe kwa kutelekezwa na huyu msanii.
Huyu kwao ni Shinyanga na alikuwa Maalim wa madrassa, asidanganye watu kuwa "alizaliwa na utangazaji". Redio ipi?mmlishawahi kuisikia Redio Shinyanga ?
Masoud tapeli na cha-pombe. Tumjuae hatudanganyiki.
Marehem Shufaa, Dadake Fatma tumekuwa nae ingawa alikuwa mdogo kidogo kwangu, nawajua ukoo mzima. Kuanzia Hussein Yanga, Marehemu Farid, Marehemu Ahmed Yanga, Marehemu Shufaa, Marehemu Abuu, walio bak, Fatuma na Mani.
Sifa kubwa ya MM ni sauti na Maneno matam, sifa kuu ya matapeli wote. Zaidi ya hayo hana analolijuwa zaidi ya kuwa hi kufundisha madrassa hapo zamani za kale. Na Quran aliitupa kwa kuwa cha-pombe nayo imemtupa.
Masoud Masoud aka Nigga J..Faiza Fox unamfahamu nafikiri baada ya kufika Dar..huyu mie namfahamu nikiwa kinda maana alisoma na broda yangu ..original kwao ni Tabora,bb yake kachanganya mnyamwezi na msomali.ana dada zake wazuri sana ila umri kwa sasa umeshaenda..amekulia shinyanga baba yake alikua HR wa mwadui..Masoud alisoma Shinyanga Secondary School lakini hakumaliza alitimuliwa kwa utoro ndo
Akakimbilia Dar na kuwa dj YMCA.kiukweli kilevi anakinywa ndo moja sababu ya utoro shuleni ulosababisha atimuliwe shule..baba yake mzazi bado yupo pale mtaa wa bachu tabora mjini.mm nilisoma na mdogo wake mmoja anaitwa Ahmed yupo hapo kkoo nae ni tapeli tapeli hivi maana mara yuko dar na sometimes mombasa!