Kuna rafiki angu alikuwa mjamzito Mbeya...wanaume walikuwa wakimtongoza sana...wanadai ana joto na kule kuna baridi.
Aliporudi Dar kwenye joto pia hali ilikuwa ni ileile kutongozwa.
Sasa hapo cjui ukweli ni upi ni tamaa tu na kutaka kumfaidi dada mjamzito...au kweli wanakuwa na joto la ajabu.
Yaani huu uandishi wa kwenye "s" nyie mnaweka "x" mnakera sana. Huku sio fb. Ni jukwaa rasmi na lenye watu rasmi.
Mods please fanyeni utaratibu juu ya hawa wachafua Lugha