Majibu kuhusu bei ya vyakula kupanda

Majibu kuhusu bei ya vyakula kupanda

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,186
Reaction score
7,492
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM.
Kusema kweli hii ni "logical fallacy".

Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.

Hivyo, jambo la kufanya ni tushirikianeni sote kulinda mazingira na kupiga vita uharibifu wa mazingira huko tupate mvua, tuvune mazao ya kutosha, bei ya chakula ishuke.

Vinginevyo maneno matupu hayatashusha bei ya vyakula.
 
Baada ya soko la nje ya nchi kuwa na bei kubwa kuliko soko la ndani ilibidi soko la ndani lishindane bei Ili chakula kiweze kubaki nchini ndiyo chakula kikapanda

Ingekuwa soko la nje bei Iko chin ushindani ungekuwa mdogo hivyo chakula kingi kisingetoka nje ya mipaka yetu bei ingekuwa chin kawaida.


Hata Leo chakula kikipigwa marufu kwenda nje kitashuka vibaya utashangaa.
 
Baada ya soko la nje ya nchi kuwa na bei kubwa kuliko soko la ndani ilibidi soko la ndani lishindane bei Ili chakula kiweze kubaki nchini ndiyo chakula kikapanda

Ingekuwa soko la nje bei Iko chin ushindani ungekuwa mdogo hivyo chakula kingi kisingetoka nje ya mipaka yetu bei ingekuwa chin kawaida.


Hata Leo chakula kikipigwa marufu kwenda nje kitashuka vibaya utashangaa.
Unatakiwa kujua kuwa mkulima naye anazalisha kwa shida, hivyo anatakiwa auze kwa bei ya soko (la nje au ndani au yote) kumlazimisha auze wapi ni kumdhulumu. Aidha, watu wote wanatakiwa wapate chakula japo kwa kununua. Kuzuia wengine wasipate chakula japo kwa kununua sio ubinadamu.
 
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM.
Kusema kweli hii ni "logical fallacy".

Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.

Hivyo, jambo la kufanya ni tushirikianeni sote kulinda mazingira na kupiga vita uharibifu wa mazingira huko tupate mvua, tuvune mazao ya kutosha, bei ya chakula ishuke.

Vinginevyo maneno matupu hayatashusha bei ya vyakula.
Unaposema... "hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.."

Umefanya research ukajiridhisha kwamba hiyo ndo sababu pekee?
 
Unaposema... "hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.."

Umefanya research ukajiridhisha kwamba hiyo ndo sababu pekee?
Ndio.Hii ni uhakika
 
Ndio.Hii ni uhakika
Uhakika from what source?

Weka ushahidi hapa wa unachokitetea.. Unadhani tutaamini maneno yako matupu

Mi naweza kukuthibitishia chakula kimepanda bei partly kutokana na nguvu ya soko na partly kwasababu ta sera mbovu za serikali kwenye value chain nzima ya kilimo.
 
Ndio.Hii ni uhakika
Uhakika from what source?

Weka ushahidi hapa wa unachokitetea.. Unadhani tutaamini maneno yako matupu? Usipake upepo rangi... weka fact hapa

Mi naweza kukuthibitishia chakula kimepanda bei partly kutokana na nguvu ya soko na partly kwasababu ta sera mbovu za serikali kwenye value chain nzima ya kilimo.

Issue sio mvua kama
 
Uhakika from what source?

Weka ushahidi hapa wa unachokitetea.. Unadhani tutaamini maneno yako matupu

Mi naweza kukuthibitishia chakula kimepanda bei partly kutokana na nguvu ya soko na partly kwasababu ta sera mbovu za serikali kwenye value chain nzima ya kilimo.
Kwani sera ya kilimo inasemaje na ni kipengele gani specific ambacho unadhani ndio kimepandisha bei ya vyakula?

Kwa hiyo wewe suala la ukame na mabadiliko ya tabia ya nchi, mazao kukauka, mifugo kufa kwa kukosa maji na malisho, hulioni hadi uletewe reserch ambayo imekuwa reviewed na watu wasiopungua watatu?
 
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM.
Kusema kweli hii ni "logical fallacy".

Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.

Hivyo, jambo la kufanya ni tushirikianeni sote kulinda mazingira na kupiga vita uharibifu wa mazingira huko tupate mvua, tuvune mazao ya kutosha, bei ya chakula ishuke.

Vinginevyo maneno matupu hayatashusha bei ya vyakula.

..wizara inayohusika na mazingira imekuwa ikiongozwa na Ccm toka tupate uhuru.

..Dr.Samia Suluhu Hassan, akiwa Makamu wa Raisi, ndiye aliyekuwa waziri wa mazingira toka 2015 mpaka 2021.

..Kama mazingira yameharibika anayepaswa kulaumiwa ni Dr.Samia, serikali, na chama chake.
 
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM.
Kusema kweli hii ni "logical fallacy".

Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.

Hivyo, jambo la kufanya ni tushirikianeni sote kulinda mazingira na kupiga vita uharibifu wa mazingira huko tupate mvua, tuvune mazao ya kutosha, bei ya chakula ishuke.

Vinginevyo maneno matupu hayatashusha bei ya vyakula.
huna hoja
 
Baada ya soko la nje ya nchi kuwa na bei kubwa kuliko soko la ndani ilibidi soko la ndani lishindane bei Ili chakula kiweze kubaki nchini ndiyo chakula kikapanda

Ingekuwa soko la nje bei Iko chin ushindani ungekuwa mdogo hivyo chakula kingi kisingetoka nje ya mipaka yetu bei ingekuwa chin kawaida.


Hata Leo chakula kikipigwa marufu kwenda nje kitashuka vibaya utashangaa.
Acha uongo.Mtu mzima weye!
 
Kwani sera ya kilimo inasemaje na ni kipengele gani specific ambacho unadhani ndio kimepandisha bei ya vyakula?

Kwa hiyo wewe suala la ukame na mabadiliko ya tabia ya nchi, mazao kukauka, mifugo kufa kwa kukosa maji na malisho, hulioni hadi uletewe reserch ambayo imekuwa reviewed na watu wasiopungua watatu?
Umeelezwa uweke ushahidi.Badala yake unaweka maswali.Kichwa yako iko musuri kweli?
 
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM.
Kusema kweli hii ni "logical fallacy".

Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.

Hivyo, jambo la kufanya ni tushirikianeni sote kulinda mazingira na kupiga vita uharibifu wa mazingira huko tupate mvua, tuvune mazao ya kutosha, bei ya chakula ishuke.

Vinginevyo maneno matupu hayatashusha bei ya vyakula.
Acha story zako za vijiweni!😃

Wanasiasa wanaweza ku-control upandaji holela wa vyakula. Full Stop
 
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM.
Kusema kweli hii ni "logical fallacy".

Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.

Hivyo, jambo la kufanya ni tushirikianeni sote kulinda mazingira na kupiga vita uharibifu wa mazingira huko tupate mvua, tuvune mazao ya kutosha, bei ya chakula ishuke.

Vinginevyo maneno matupu hayatashusha bei ya vyakula.

Dawa ni KULIFURUSHA hilo genge lililojimilikisha "MILKSHAKE", basi. KATIBA MPYA ni sasa..

Uongozi.jpg


Katiba Mpya.jpg
 
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM.
Kusema kweli hii ni "logical fallacy".

Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.

Hivyo, jambo la kufanya ni tushirikianeni sote kulinda mazingira na kupiga vita uharibifu wa mazingira huko tupate mvua, tuvune mazao ya kutosha, bei ya chakula ishuke.

Vinginevyo maneno matupu hayatashusha bei ya vyakula.
Hivi kukatwa miti na kutumia kuni hapa nchini vimeanza leo au jana nchi hii?
Tangu enzi na enzi watu walitumia kuni na mkaa na mvua ziliendelea kunyesha.
watu walilima na kushiba

Hakuna anayelazimishwa kuwa kiongozi,kwa mantiki hiyo kiongozi au chama chochote
kinaweza kutangaza kushindwa kikawaachia wengine wakaongoza.
ukisoma vitabu vya imani utajifunza,kuna watawala walitawala
nchi zikapata neema watu wakashiba,na kuna watawala walitawala nchi zikapigwa laana ya njaa
watu wakahangaika,hivyo uongozi kuhusishwa na hali nzuri au mbaya ya nchi husika havikuanza leo
Tafuta sehemu nyingine ya kupiga siasa kwetu kwa sasa acha kila mwenye macho ajionee anachojionea.
 
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM.
Kusema kweli hii ni "logical fallacy".

Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi hali hii inasabahishwa na upungufu wa mavuno yanayo sababishwa na kukosekana kwa mvua kutokana na uharibifu wa mazingira.

Hivyo, jambo la kufanya ni tushirikianeni sote kulinda mazingira na kupiga vita uharibifu wa mazingira huko tupate mvua, tuvune mazao ya kutosha, bei ya chakula ishuke.

Vinginevyo maneno matupu hayatashusha bei ya vyakula.
Wa kulaumiwa ni Nyerere alisema kwenye gazeti la Observer kwamba katiba yetu ni ya kidikteta.
 
Back
Top Bottom