Simple on looking
Senior Member
- May 27, 2014
- 100
- 34
Wana jf habari,?
Nilileta uzi wangu humu kuhusu hali yangu ninayo iona pindi ninapojisaidia haja kubwa ya kuona kama mucus au kamasi zikitoka na haja. sasa basi wadau wakanishauri niende hospital kwanza,
Jana nlienda nkapma urine na stool lakini doctor kanambia hamna ugonjwa.
Eti yawezekana ni kwa sababu ya kula vyakula vya mafuta. lakini kiukweli mimi kama ni chips situmii, na mara nyingi nakua shule msosi ni maharage na dona,sasa aya mafuta yanatoka wapi? naomba msaada kama kuna njia mbadala
shukrani.
Nilileta uzi wangu humu kuhusu hali yangu ninayo iona pindi ninapojisaidia haja kubwa ya kuona kama mucus au kamasi zikitoka na haja. sasa basi wadau wakanishauri niende hospital kwanza,
Jana nlienda nkapma urine na stool lakini doctor kanambia hamna ugonjwa.
Eti yawezekana ni kwa sababu ya kula vyakula vya mafuta. lakini kiukweli mimi kama ni chips situmii, na mara nyingi nakua shule msosi ni maharage na dona,sasa aya mafuta yanatoka wapi? naomba msaada kama kuna njia mbadala
shukrani.