Mimi nitamwambia kuwa mda mwingi nashinda kazini,pia mwenye nyumba hataki Mimi nilete wageni.Wale wadau wa kuishi geto pale ambapo unapigiwa simu na mdau au ndugu anasema anakuja kwaka. Naomba ujibu kama mtu ambaye hutaki wageni kabisa.
Mimi najibu "Nina mishe nyingi ndugu nitakuja tu kwako usijali"
Nipo na shemejio hapa ndani.. muda c mrefu napiga showπWale wadau wa kuishi geto pale ambapo unapigiwa simu na mdau au ndugu anasema anakuja kwaka. Naomba ujibu kama mtu ambaye hutaki wageni kabisa.
Mimi najibu "Nina mishe nyingi ndugu nitakuja tu kwako usijali"
Baada ya show nampeleka kwa shangaziye, mbali hukoπππ Apo mdau atasem ukimaliz show mkuu naingia
Dah.. huyu Pisi kali
lips na boobs kwny avatar ni shiiidah
Ha ha ha..Nyuma ya keyboard kuna mengi angalia usiingie mkenge boss!