Majibu kwa wale wasiopenda wageni...

Mczigga

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
722
Reaction score
1,272
Wale wadau wa kuishi geto pale ambapo unapigiwa simu na mdau au ndugu anasema anakuja kwako. Naomba ujibu kama mtu ambaye hutaki wageni kabisa.

Mimi najibu "Nina mishe nyingi ndugu nitakuja tu kwako usijali"
 
Wale wadau wa kuishi geto pale ambapo unapigiwa simu na mdau au ndugu anasema anakuja kwaka. Naomba ujibu kama mtu ambaye hutaki wageni kabisa.

Mimi najibu "Nina mishe nyingi ndugu nitakuja tu kwako usijali"
Mimi nitamwambia kuwa mda mwingi nashinda kazini,pia mwenye nyumba hataki Mimi nilete wageni.
 
karibu sana ndugu yangu

ila mwenye nyumba kafungia vitu vyangu;ananidai kodi ya miezi6 kama unayo nirushie; nitakulipa mwisho wa mwezi
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜„ Apo lazm mtu atoke πŸƒπŸƒπŸƒ hawez sogea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…