Nchi yetu inageuzwa Animal Farm. Mbaya zaidi, Mzee Mwanakijiji haya matumizi yanatumika kununua second/third rate stuff kutoka majuu. Sisi tunachotaka ni kuwa kitu kimeagizwa kutoka nje bila kujali au kujua quality!
Amandla......
Reverend,
Why do you want to swallow your own vomit? Few days ago, you adamantly defended BOT's decision to build those houses solely because it's not tax payers' money. Now, you want to turn around and accuse them of the same thing you did defend them before. This is simply the zenith of hypocrisy. ......Sorry Reverend, you can't have both ways.
Reverend,
Why do you want to swallow your own vomit? Few days ago, you adamantly defended BOT's decision to build those houses solely because it's not tax payers' money. Now, you want to turn around and accuse them of the same thing you did defend them before. This is simply the zenith of hypocrisy. ......Sorry Reverend, you can't have both ways.
Swali jingine ambalo tungependa tuwaongezee kwa vile wao wamelileta ni hili: Ni watumishi wangapi wa BoT ambao kwa mikataba yao wanatakiwa wapewe nyumba? Impression waliyoiacha ni kana kwamba katika BoT ni hao watatu tu ndio wanatakiwa kupewa nyumba. Since they opened up the box.. let's look inside!
Mwaka 2006, kabla ya uteuzi wa viongozi wa sasa wa juu, Benki Kuu ilifanya uamuzi wa kujenga nyumba mbili zaidi kwa makazi ya viongozi walioongezeka. Iliamuliwa nyumba hizi zijengwe kiwanja namba 57 Barabara ya Mtwara Crescent na kiwanja namba 12 Barabara ya Tumbawe maeneo ya Oysterbay.Viwanja vyote viwili vilikuwa ni mali ya Benki Kuu vilivyokuwa na magofu yaliyopigwa marufuku kuishi wanadamu (condemned).
Reverend,
Why do you want to swallow your own vomit? Few days ago, you adamantly defended BOT's decision to build those houses solely because it's not tax payers' money. Now, you want to turn around and accuse them of the same thing you did defend them before. This is simply the zenith of hypocrisy. ......Sorry Reverend, you can't have both ways.
Hii inatisha kweli. Benki Kuu wanakuwa na nyumba ambayo wanaiachia hadi inakuwa gofu! Ni magofu mengine mangapi ambayo bado wanayo? [/FONT]Na hayo magofu yanatumika na watu au yako matupu? Na ni hatua gani walichukuliwa wale walioachia nyumba za Taasisi hii muhimu zifikie hatua ya kuwa condemned? Au walinunua condemned buildings kwa zile dola 400000 tulizoelezwa awali?
Majibu ya haraka haraka yana matatizo yake.
Amandla......
Nani kakwambia BOT walinunua kiwanja ? Hivi viwanja vilikuwa mali ya BOT . Hizo shilingi bilioni 2.5 ni za kujenga nyumba mbili tuu !
ndio maana binafsi mimi ningependa sana kujua hivyo viwanja vilivyokuwa na condemned buildings vilikuwa vya shemeji yake na nani?
kwanza BOT wakibanwa watatoa BOQ lipi orijino au la Jumamosi?
Viwanja vyote viwili vilikuwa ni mali ya Benki Kuu vilivyokuwa na magofu yaliyopigwa marufuku kuishi wanadamu (condemned).
Mimi siko kabisa kwenye gharama ya ujenzi maana nimeshindwa hata kushangaa karibu 1.5Bil kwa nyumba si mchezo, nipo kwenye yanayoitwa magofu, wao wanayaita magofu sisi tunaziita nyumba, ni kufuru kupita kiasi.
Sikatai Gavana kuwa na nyumba nzuri ila napinga zile nyumba zilizobomolewa kuitwa magofu, kwa maana hiyo asilimia 90 ya watanzania tunaishi kwenye magofu maana ni wengi hatuna nyumba kama zilizobomolewa, ningekuwa na picha zake kabla ya kubomolewa ningewawekea.
Nishasema katika Thread nyengine kuwa Professor Mervin King anakaa katika nyumba ina thamani ya £420,000, Professor Ben Benarke $549,000 Professor wetu anakaa nyumba ya $1.2 Million unadhani huyu jamaa akienda na rais kuomba pesa watampa kweli, unafikiri hawa jamaa mabalozi wao hawasomi magazeti!!!!