Majibu tofauti na dalili

Majibu tofauti na dalili

Mi nashangaa sana wanaoshikiria kulitafuta hili janga kwa nguvu......

Last week nimemgomea mtu kupima hivi hivi ....nimepima HIV Mara saba mpaka sasa sina virusi na vyeti ninavyo anakuja yeye ananiambia nataka nikupime eti kisa sikupima na yeye japo vyeti vipo nikamwambia usinilazimishe kwenda kukitafuta kitu ambacho hakipo mpaka kionekane kipo niache tu .....nisije rudi Mara nane nikaambiwa vipo nikafa pressure bure
Yaani watu mnalitafuta hili gonjwa Kwa nguvu, vipimo vinaonesha huna,bado unakomaa duh, nenda hospital for checkup zaidi, huenda ni malaria tu,
 
Mi nashangaa sana wanaoshikiria kulitafuta hili janga kwa nguvu......

Last week nimemgomea mtu kupima hivi hivi ....nimepima HIV Mara saba mpaka sasa sina virusi na vyeti ninavyo anakuja yeye ananiambia nataka nikupime eti kisa sikupima na yeye japo vyeti vipo nikamwambia usinilazimishe kwenda kukitafuta kitu ambacho hakipo mpaka kionekane kipo niache tu .....nisije rudi Mara nane nikaambiwa vipo nikafa pressure bure
Mi mwenyew xiend tena kupma
 
Mimi napima hata huo ukimwi but kwa sasa napumzika nisijepata nnachokitafuta......Mara saba ni nyingi mnooo
Ntapma vpmo vya magonjw mengne ila icho kpmo never happen[emoji2957][emoji12][emoji2957]
 
Nenda hospital za uhakika ciyo zs vichochoroni halalafu kwa nini ynajihisi kuukwa ukimwi?
 
Pole sana. Kwani baada ya majibu walikuambiaje??
Fuata ushauri wa wataalamu.
 
Back
Top Bottom