Majibu ya bodi kwa waliokosa mkopo

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
Mkurugenzi akijibu maswali ya watu waliofka kuhoji kwa nini wamekosa mkopo,amewajibu "WALIOPATA WAMEPATA NA WALIOKOSA HAWATAPATA"Cha kuwapa moyo amewaambia wakate rufaa na wasubiri majibu ndani ya 90 days..! Hata hvyo criteria za kupata mkopo KIGEZO KIMOJAWAPO AKASEMA CHETI CHA KIFO KAMA WEWE NI YATIMA, na akasema kuwa kama kuna m2 kanyimwa mkopo na niyatima..apeleke death certificate ili apewe mkopo!..updatedboy!
 
kwa maana hiyo je kuhusu meals na accomodation hawatoi kabsa au kujilipia
 

Mimi nimepeleka na mkopo sikupata
 
Pouwa thank kwa tahalifa mkuu
Bt mwambie chenji zilizobaki wangetupa boom 2 sisi wanyonge
 
ndipo muone vijana serikali yenye utajiri na viongozi waliojilimbikizia pesa nyingi uswis. inaumasana watoto wa maskini na wakulima hakuna shule tena
 
Kura yangu 2015 itakwenda chadema haki ya munguu....!!!
 
Mm nmeambatanisha vyote, na ckuwemo kwa waliokuwa na matatzo, lakn cjapata mkopo, sasa npeleke chet gan tena? Hawa washenz kwel
 
Kura yangu 2015 itakwenda chadema haki ya munguu....!!!

unadhan chadema ndo watafanya kazi vizur?? wakipewa madaraka nao wataanza kujilimbikizia tu,,ni mwendo wa chukua chako mapema,,taifa limeingiliwa tena chadema ndo wachaga haswaaa,,watatukamuajeee
 
unadhan chadema ndo watafanya kazi vizur?? wakipewa madaraka nao wataanza kujilimbikizia tu,,ni mwendo wa chukua chako mapema,,taifa limeingiliwa tena chadema ndo wachaga haswaaa,,watatukamuajeee

dah,itabid 2fanye utatuz wa matatzo haya mapema..updatedboy
 
Mm nmeambatanisha vyote, na ckuwemo kwa waliokuwa na matatzo, lakn cjapata mkopo, sasa npeleke chet gan tena? Hawa washenz kwel

kama unachet cha kfo try to go again ninauhakika according to hz speech ,utapata mkopo updatedboy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…