Majibu ya CCM: hoja yao ilikuwa CHADEMA haina demokrasia ina mwenyekiti wa maisha, sasa CHADEMA wanataka mabadiliko ya mwenyekiti CCM wanapinga tena

Majibu ya CCM: hoja yao ilikuwa CHADEMA haina demokrasia ina mwenyekiti wa maisha, sasa CHADEMA wanataka mabadiliko ya mwenyekiti CCM wanapinga tena

kichongeochuma

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2024
Posts
1,669
Reaction score
2,864
Hapo unaweza kujiuliza ndani ya CCM kuna watu wenye vichwa vya aina gani , maana wanaona sasa watakosa hoja ya kuikosoa CHADEMA hivyo wanalazimisha abaki mbowe ili hoja yao iendelee kutamalaki.

CCM imejaa viongozi wabinafsi sana wananchi wenye akili wanaliona hilo, wamevuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na bado wanataka kuvuruga hadi chaguzi za vyama vya siasa vya upinzani , hii ni roho mbaya sana

Vyombo vya ulinzi na usalama mnahangaika na hayo kwa maslahi ya nanii? Mnaweza dhani mna hangaika kwa maslahi ta CHAMA tawala kumbe mnauwa watanzania wenzenu kwa maslahi ya kakikundi kadogo ndani ya chama kanako jitajirisha na ufisadi na udokozi wa mali za taifa ambazo zingekuja kuwafaa hata watoto na wajukuu zenu hapo baadae.
 
Siku Chadema ikiongozwa na mtu kama John Heche, hakika wananchi wengi watarejesha imani kwa chama.
Maana hatutegemei kwa mtu wa aina yake, kusikia eti ametorokea Ubelgiji, au amekaa meza moja na kigogo gani sijui ili kufikia muafaka wa kipuuzi.
 
Una hakika ni Sisiemu walewale? Maana isijekuwa unahangaika na Sisiemu A, B, C, D nakadhalika.

Hata hivyo ni asili ya mwanadamu kutetea kitu, kisha akapinga tena wazo hilo - kwa vigezo vyenye mashiko ama kwa ugeugeu tu.
 
Wanayemkataa ni Tundu Lissu kwani ataivuruga chadema, ccm na serikali. Atavuruga kila mtu. Atakinukisha kila mahali na kikishanuka yeye atasepa kwa waliomtuma huko ughaibuni akituacha sisi hapa tunatwangana. Tutakuwa kama Syria
 
Hapo unaweza kujiuliza ndani ya CCM kuna watu wenye vichwa vya aina gani , maana wanaona sasa watakosa hoja ya kuikosoa CHADEMA hivyo wanalazimisha abaki mbowe ili hoja yao iendelee kutamalaki.

CCM imejaa viongozi wabinafsi sana wananchi wenye akili wanaliona hilo, wamevuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na bado wanataka kuvuruga hadi chaguzi za vyama vya siasa vya upinzani , hii ni roho mbaya sana

Vyombo vya ulinzi na usalama mnahangaika na hayo kwa maslahi ya nanii? Mnaweza dhani mna hangaika kwa maslahi ta CHAMA tawala kumbe mnauwa watanzania wenzenu kwa maslahi ya kakikundi kadogo ndani ya chama kanako jitajirisha na ufisadi na udokozi wa mali za taifa ambazo zingekuja kuwafaa hata watoto na wajukuu zenu hapo baadae.
Zero brain kabisa hawa watu!
 
Hapo unaweza kujiuliza ndani ya CCM kuna watu wenye vichwa vya aina gani , maana wanaona sasa watakosa hoja ya kuikosoa CHADEMA hivyo wanalazimisha abaki mbowe ili hoja yao iendelee kutamalaki.

CCM imejaa viongozi wabinafsi sana wananchi wenye akili wanaliona hilo, wamevuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na bado wanataka kuvuruga hadi chaguzi za vyama vya siasa vya upinzani , hii ni roho mbaya sana

Vyombo vya ulinzi na usalama mnahangaika na hayo kwa maslahi ya nanii? Mnaweza dhani mna hangaika kwa maslahi ta CHAMA tawala kumbe mnauwa watanzania wenzenu kwa maslahi ya kakikundi kadogo ndani ya chama kanako jitajirisha na ufisadi na udokozi wa mali za taifa ambazo zingekuja kuwafaa hata watoto na wajukuu zenu hapo baadae.
Mvua kubwa iliyonyesha leo na kusababisha mafuriko katika maeneo ya bondeni imeleta madhara makubwa ya miundombinu. Watu 5 akiwepo kiongozi mmoja ambae jina lake halikuweza kufahamika mara moja wanashikiliwa na polisi kutokana na tukio hilo
 
Wanayemkataa ni Tundu Lissu kwani ataivuruga chadema, ccm na serikali. Atavuruga kila mtu. Atakinukisha kila mahali na kikishanuka yeye atasepa kwa waliomtuma huko ughaibuni akituacha sisi hapa tunatwangana. Tutakuwa kama Syria

Hofu yenu tu 😆😆😆
Kwani yeye hajui ukiwa kiongozi unapaswa kujifunza kuwa na hekima pamoja na sibira ya mambo pamapohitajika ?!
Mmeshaanza kumuona ni threat kwenu ??

Msimtaka aja 😀😅
 
Wanayemkataa ni Tundu Lissu kwani ataivuruga chadema, ccm na serikali. Atavuruga kila mtu. Atakinukisha kila mahali na kikishanuka yeye atasepa kwa waliomtuma huko ughaibuni akituacha sisi hapa tunatwangana. Tutakuwa kama Syria
Punguza ujinga!
Anaivurugaje CHADEMA? Fafanua kwa maana
Unaposema atakinukisha lugha ya kihuni hii, unamaanisha nini.

Nadhani atasepa unamaanisha ataondoka. They guy left the country for Ccm government attempted to take his life and you know that.

Waliomtuma ni akina nani tueleze Ili tuwe na tahadhari. Otherwise katoe mawazo haya Facebook!
 
Siku Chadema ikiongozwa na mtu kama John Heche, hakika wananchi wengi watarejesha imani kwa chama.
Maana hatutegemei kwa mtu wa aina yake, kusikia eti ametorokea Ubelgiji, au amekaa meza moja na kigogo gani sijui ili kufikia muafaka wa kipuuzi.
Kweli kabisa
 
Wanayemkataa ni Tundu Lissu kwani ataivuruga chadema, ccm na serikali. Atavuruga kila mtu. Atakinukisha kila mahali na kikishanuka yeye atasepa kwa waliomtuma huko ughaibuni akituacha sisi hapa tunatwangana. Tutakuwa kama Syria
Ndio ukweli
 
Hapo unaweza kujiuliza ndani ya CCM kuna watu wenye vichwa vya aina gani , maana wanaona sasa watakosa hoja ya kuikosoa CHADEMA hivyo wanalazimisha abaki mbowe ili hoja yao iendelee kutamalaki.

CCM imejaa viongozi wabinafsi sana wananchi wenye akili wanaliona hilo, wamevuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na bado wanataka kuvuruga hadi chaguzi za vyama vya siasa vya upinzani , hii ni roho mbaya sana

Vyombo vya ulinzi na usalama mnahangaika na hayo kwa maslahi ya nanii? Mnaweza dhani mna hangaika kwa maslahi ta CHAMA tawala kumbe mnauwa watanzania wenzenu kwa maslahi ya kakikundi kadogo ndani ya chama kanako jitajirisha na ufisadi na udokozi wa mali za taifa ambazo zingekuja kuwafaa hata watoto na wajukuu zenu hapo baadae.
( Kakikundi kadogo ndani ya Chama )
Duh 🙄 !
Tena kanajuanajuana vilivyo !
Duh 🙄 !
Haya bhana sisi yetu macho na masikio 😳🧐 !
 
Back
Top Bottom