Majibu ya Diamond kwa Jokate kuhusu post yake iliyoleta utata

Bwaahahahahhahahhha

hahahahahahahhaha

kwakakakakakakakkakwakwa

Hiloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Pole kwa kunengua, imefahamika rasmi kuwa nyie ni wananguaji
 

nimesoma mistari mitatu tu ya mwanzo nikapata cha kukujibu, kwa mtazamo huo ulionao basi davido angechukua zote au mbili, davido alikuwa anasupport kubwa zaidi ya diamond kutoka TZ pekeyake bado support ya kutoka nchini kwake, unaweza kuniambia zile kura za team wema, jokate, kiba, ommy zilimuongezea nini davido hata ndio tujue kilichompunguzia diamond????
 

Pole sana ila iko hivi;
Sisi mashabiki wake wala hatukutegemea kama diamond anaweza hata akapata tuzo za MTV kabisa ingawa tulipiga sana kura!

kwa akili yako inawezekana kabisa hiyo tuzo aliyoipata diamond ni ya kawaida(kwa akili yako lakini)

Nitampata wapi ya diamond ndio nyimbo iliyoingia katika kinyang'anyiro cha nyimbo bora,hajashirikisha mtu yeyote kwenye hiyo nyimbo!BTW Mwana mbona haijaingia??wote wamefanya kwa godfather kumbuka!

Khadija kopa amefanya kazi na nani wa nje?!sheddy clever je?Hiyo tuzo ni ya EAST AFRICA tu na wala haina maana wasanii waloingia hapo wameshafanya collabo na watu wa nje.

Kipaji sio tatizo ila tatizo ni jinsi ya kukitumia kipaji chako kikakubalika!BTW kiba anaweza kusimama naALLY NIPISHE kwenye kuimba?Ally kiba yuko kawaida sana
 
kama kapata tuzo ya MTV bila support ya team wema kiba, ommy na jokate, huogopi?? ndio maana kaamuwa kuwanyoosha coz imethibitika muungano wa team zoote hizo hauna effect kabisa kwenye maendeleo yake.

Mshahuri Huyo mtu wako kwamba, hayo maneno maneno angewaachia mashabiki yeye akakaa kimya! Mwenzake yuko cool sana. Na ndio maana anapendwa.
 
Mange eti anamtetea jokate kwa lipi?

wakati wanamshushia kazi Diamond na kuoba watu wasimpigie kura kushinda ma tuzo mbona alikaa kimya zaidi ya kumtukana na kumkashifu yeye na mkewe kila wakati wivu eti sababu hayuko na yule wame tena. bila aibu anayaandika anajisahau jinsi anavyo tukanaga wanawake wenzake kwenye blogi lake.jokate kanda kwemye redio kuringa eti kamkosesha tuzo Diamond mbona haukusema? wanawake waache kujidharirisha kufata maisha ya wanaume waliowadampu?

wivu utazani alichokonolewa yeye mwilini mwake, wivu kuona Diamond anaishi maisha ya High class haswaaaa.

haya sasa akaauza lipstick, shamim akatangazia rafiki yake anauza hizo pia mbona alilia eti wanamwaribia biashara akalia haswa kwa maneno na kutukana kama mdomo umejaa uchafu wa karo la ma.vi

yeye leo Diamond anajibu watu wanaomchukia na kutaka kushusha kazi zake anadandia kama sijui linani.

alijifanya anajua ya maisha ya Dar kushangiliwa na watoto wa shule kaingia bongo kakuta moto yupo njiani kurudi kwa wazungu, kumbe umaarufu wa watoto wa kwenye mitandao chezea ubunge gagwe wa kutukana nyuma ya keyboard.

umwache kabisa Diamond kutumia jina lake kuweka kiki kwenye blogi lako umejijua weye sio dili kivileeeeeeeee kwa wanaojielewa. pole ukija tena tutakupokea airport.

#watanyooka tu

#msisahaukupigakura
 
Mshahuri Huyo mtu wako kwamba, hayo maneno maneno angewaachia mashabiki yeye akakaa kimya! Mwenzake yuko cool sana. Na ndio maana anapendwa.

i can see kiba yeye maneno maneno kawaachia mashabiki zake ndio maana mashabiki ni maarufu na ndio wanaosikika zaidi kuliko yeye, sasa mfanye kwenda kutuwakilisha huko mbelee, sisi waTZ tunachotana ni wasanii kutumia vipaji vyao, uwezo ubunifu kututangaza kwa watu wa nje, kwasababu mpenzi wenu mmempiga zipu nene hajulikani yupo wapi anafanya nini na ameplan nini,yeye hajitangazagi mwenyewe hataki sifa. matokeo yake si ndio haya sasa, wakati mwenzake ana nominations 7 yeye ana moja si ndio hapendi sifa, ule wimbo wetu bora wa mwaka umefikia wapi kisoko, tatizo la mashabiki wa kiba mlipanda na lift ya maneno mpaka ghorofa ya mia mkidai hapo ndipo kiba alipo lakini kiuhalisia mlimuacha kiba ghorofa ya kwanza anapanda zake na ngazi, sasa ushauri wangushukeni tuu kwa kasi ile ile mliopanda nayo mkamsaidie apande taratibu, kufika hapo mnapotaka atafika lakini sio sasa, huyo diamond mnaempiga vita sasa hakupanda ghafla jasho lilimtoka ndio maana daima nitasimama upande wake
 
Inakusaidia nini kuandika maneno mengiiii badala ya kupiga kura?
 
Inakusaidia nini kuandika maneno mengiiii badala ya kupiga kura?

asante kwa kunielewa come to kupiga kura sasa, aisee mpaka dediline ifike dole gumba litakuwa limeota sugu, manake nastop tu charge ikiisha, nikishacharge tu full charge naanza tena kama teja vileeeeeeeeee!!! DIAMOND NAKUPENDA JAMANI, kwa raha unazonipa naachaje kukupenda sasa????
 
Yaani nyie jamaa mna vituko; hamna facts zaidi ya kuongozwa na emotion! Hebu twende taratibu:
  • Unahoji Diamond anapanda au anashuka: Are you serious? Yaani kwa mtazamo wako unaona anashuka kv mwakajana alipata KTMA 7 na mwaka huu 2!!! Kwanza, nenda kwenye page yake kama utakuta maombi ya kupigiwa kura KTMA! Itoshe tu kusema kwamba, watu wameshaana na Ndondo Cup... sasa ni International!

FACTS:
  • Mwaka jana nomination ya MTV Mama ni 2 categories na hakupata hata moja lakini mwaka huu nomonation ya MAMA ni 3 na ameshinda 1... je, amepanda au ameshuka?


  • Mwaka jana alikuwa nominated AFRIMMA kwenye 5 categories na mwaka huu 6 categories: Now tell me, numbers never lie... hapo amepanda au ameshuka?


  • Ali Kiba anajua kuimba kuliko Diamond... sawa, then so what? Unaonaje basi mkimshauri aende kwenye talent search au pop idol manake hapa hatuzungumzii mashindano ya kutafuta wanaojua kuimba bali tunazungumzia kazi za watu zilizoleta impact kwenye industry


  • Kwamba eti wasanii wote wa Tanzania wameenda kwa kick za kufanya collabo na wasanii wa nje except Ali Kiba: Ndugu, hivi unajua muziki au unaongea tu? Au ndo matatizo ya kuzoea mechi za mchangani kiasi kwamba hamfahamu strategy za kujitanua nje ya mipaka? By the way, Khadija Kopa amefanya Collabo na msanii gani? What about Lady Jaydee? Ommy Dimpoz hiyo Collabo na Martin ameifanya lini kama sio 2013? Kama kushirikiana na wasanii wa nje ingekuwa ndo sababu kwanini asingekuwa nominated 2014?


  • MTV kapata ushindi wa kawaida: Unakuaje ushindi wa kawaida? Kwa kuwa amepata tuzo moja, au? Unadhani ni Ndondo Cup aka KTMA ile? Kwani ni sole artist gani ametoka na tuzo zaidi ya moja pale?
 
Mi naona huyu bado anampenda Diamond hana lolote wivu tuuuuuu
 
Huyo domo wenu kavurugwa kwani angekaa kimya ingekuwaje
Mmeshasema kwamba Diamond ni Mswahili na hajaenda shule na good enough hata mwenyewe kila siku anasema yeye ni mswahili toka uswahilini Tandale! Sasa huoni huo ushauri wako ungemfaa sana mtoto wa Kishua Jokate? Diamond kaandika Watanyooka Tu... sasa nini Jokate kilimfanya aanze kujibu na post ndeeeeeeeeefu as if ametajwa mahali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…