marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Tuna jibu hoja sio person issues, lengo ni kujiginza na kureason mambo kwa upana.Lengo la hii thread ni nini? Wewe unaamini dini? Dini ipi? Ninavyojua mimi kwenye kila dini kuna maswali yaliyokosa majibu na wafia dini wanasema ni kazi ya Mungu lakini watu wengine wanapoteza imani.
Kila mtu ana haki ya kuamini anachokiamini lakini wenye imani zenu mnajiona wakamilifu sana, nafikiri hiyo ndio sababu umeandika hii thread.
VizuriNimesoma. Nimejifunza. Jamaa anakitu
U r welcome cheafAsante kwa kushea chief
Tuna jibu hoja sio person issues, lengo ni kujiginza na kureason mambo kwa upana.
Sasa unaniuliza kuhusu Imani yangu , hiyo ni nini ? Ili iweje ?How personal? I don't know you.
Kama unataka tu-reason anza kujibu maswali yangu hapo juu.
Sasa unaniuliza kuhusu Imani yangu , hiyo ni nini ? Ili iweje ?
Na underground ndipo mitutu na mabomu yanapofichwa mkuuDizasta vina bado ni underground
Yuko sahihi kwa mtazamo wakeWasalaam.
Nipo kwenye Group Moja la rapa mahiri na storyteller matata Sasa DIZASTA VINA,
Nimesha sikiliza ngoma zake kadhaa kama Vile kanisa ambazo ame jitanabaisha kuwa yeye haamini uwepo wa Mungu
Siku za karibuni alivyo achia ngoma ya TRIBULATIONS Ile aliyo mdiss Rapcha ame nukuliwa akisema "NABAKI NJE YA BOX NISHA DIVORCE DINI"
Hivyo kwa mantilki hii Dizasta vina sio muumini wa Dini yoyote na haamini uwepo wa Mungu Nime ambatanisha PDF yenye maswali. Na kutoka wa wadau na majibu kutoka kwake ,
Nime anzisha thread kwasababu Dizasta vina ni public figure na Nina uhakika ana fan humu ndani, fan ambao Wana haki ya kujua mtazamo wake juu ya baadhi ya mamboIli tujue unasimama upande gani, kwasababu umechukulia mtazamo wa Dizasta Vina kama strange thing mpaka ukaanzisha thread.
Nime anzisha thread kwasababu Dizasta vina ni public figure na Nina uhakika ana fan humu ndani, fan ambao Wana haki ya kujua mtazamo wake juu ya baadhi ya mambo