Majibu ya Halmashauri ya Kibaha kuhusu tuhuma za Rushwa katika urasimishaji viwanja

Duh tanzania wao ni kuteteana

Huko inaelekea hata wakichunguza

Ni kazi bure...labda tume iundwe kutoka ahera

Ova
 
Nimeenda nimepewa account number ya manispaa kulipia ... Ila karatasi yao ina upande wa control number .. je naibiwa kuweka kwa account au?? Je baada ya kumaliza kulipa kiasi nilichopewa nilipe nini kitafuata nimewauliza wamenambia nimalize kulipa maelekezo mengine nitapewa nikimaliza kulipa.
 
Inapigwa stukaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…