Majibu ya Harmorapa kwa Iyobo

Dionize N

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
1,848
Reaction score
3,293
Asante sana Mose kwa kuniita nyani ila akae atambue anamkufuru Mungu kwa sababu ndio aliyeniumba kwa hiyo anavyonifananisha na nyani na mimi nafananishwa na Harmonize pia na Hamornize ni nyani kwa hiyo tuko nyani wawili’-Hamorapa.


Source: You Heard
 
Huyu dogo ni upepo wa msimu kibaya zaidi watu wanamzungumzia yeye kuliko hata mziki wake na hakuna anaulizia music wake. UPEPO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…