Kwa mfano huyo angekuwa mwanaume wa mkoani angejibu vipi hapo ???Majibu ya wanaume Wa dar sio ya mchezo mchezo
Kabisa mkuuMajibu ya wanaume Wa dar sio ya mchezo mchezo
Kwa post wewe unaonekana ni mwanaume Wa darKwa mfano huyo angekuwa mwanaume wa mkoani angejibu vipi hapo ???
[emoji54] [emoji3]Majibu ya wanaume Wa dar sio ya mchezo mchezo
Kutembeza kichapoKwa mfano huyo angekuwa mwanaume wa mkoani angejibu vipi hapo ???
HahahaaaKutembeza kichapo
Hahahaaaaaa! Level za LemutuzHarmo Rapa anaongea na Diamond Platnumz ndio saizi yake. Hawa wacheza show kina Moze Iyobo sio level zake sema wanadandia treni tu [HASHTAG]#TeamHarmoRapa[/HASHTAG]
Kundule, eti anajiona HB duh!! Kazi yenyewe ya kukata viuno ndoa alipwe, mwenzake Harmorapa yeye ndio yeye mwanzo mwisho.washasema nyani halioni nini lake sijui...