Majibu ya Harmorapa kwa Iyobo

Huyu Harmorapa ni nani.? Ana nyimbo gani inayosumbua
 
Si kila kitu ni cha kujibu Si kila mtu ni wa kumjibu
 
Yaaaani bongo raha tupu, natamani na trumpo angekuwa raisi nae tz wawe wawili
 
Yaani Iyobo kuambiwa na aunty Ezekiel "you are handsome" ndiyo kunamfanya atukane watu daaaah awe makini na kauli zake akumbuke bado anahitaji kuwa na watoto
 
Safi sana HARMORAPER umempa/umetoa JIBU KiUTU uzima.....ila DUNIA inajua....MOSE ni moja ya MADANSA wanao fanya KAZI si Kwa MVUTO alio nao...ISIPOKUWA juhudi tu....Nadhani ata AUNTY EZEKIEL amempendea labda ni juhudi na nidhamu ...

Si vyema anavyompoda H-RAPER ...ITAKUWA ni sawa na kumpoda muimbaji mwenye heshima yake SEAL.....

Labda kama hajui...
 
Huyu dogo ni upepo wa msimu kibaya zaidi watu wanamzungumzia yeye kuliko hata mziki wake na hakuna anaulizia music wake. UPEPO
Kwa hiyo kama upepo hata akiitwa Mbwa fresh tu au sio Zari
 
Yaani Iyobo kuambiwa na aunty Ezekiel "you are handsome" ndiyo kunamfanya atukane watu daaaah awe makini na kauli zake akumbuke bado anahitaji kuwa na watoto
Mademu sio wa kuwaamini aisee

Jamaa sura zombi lakini ezekiel anamwambia we handsome hadi jamaa anaita wengine sokwe.

Mi ningekua na sura moze iyobo afu demu wangu aniite handsome walahii namchapa makofi then kibuti.mana atakua mnafiki huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…