Majibu ya John Mnyika kwa Rais Samia, Mwendelezo wa IQ ndogo ndani ya CHADEMA

Umeandika upuuzi mtupu,ni dhahiri majibu ya mnyika kwa Raise yamekukera sana,ulitaka tupotoshwe alafu tukae kimya,haya tueleze na wewe zwazwa nani kafungwa?.acheni propaganda za kishamba bahati nzuri Safari hii mpaka maccm Yale mazwazwa yamemshitukia mama.

Halafu ukome kutishia wanaume eti wakae kimya.
 

Juma Juma una IQ kiasi gani wewe?
 
Halafu cdm wanaonyesha ubinafsi mkubwa sana wanajitaja wao tu exclusively kutaka kuonana na Raisi wakati raisi anataka aonane na ambrela ya vyama vya upinzani wote!
Nawashangaa sana kina Mbatia, zitto na lipumba kujipendekeza kwa hawa cdm wakati wao wanawachukulia very low.
 
Nimesoma namba moja,kwamba Raisi alikuwa anazungumza na Dunia!kwahiyo sio sehemu ya Chadema kujibu hoja zilizojitokeza,sasa hapa nani ana IQ ndogo,Chadema au wewe!!
Huyu Raisi wa sasa azungumze na Dunia kuhusu maswala ya Tanzania?!we kweli una kichaa,aliyoyaongea hata hayavuki mpaka wa Namanga,Mtambaswala,Murongo,Kyaka,Wala Tunduma,ni ya ndani,na anatikiwa ajibiwe hapa hapa na Wabongo
 
Chadema usipotumia ubabe huwezi kukaa nao vizuri, nakumbuka walimuyumbisha kikwete na slogan ya kikuda et "nchi haitatawalika"
Mi naona huyu mama aliwalegezea sana.
 
Eti kijana kama huyu mleta mada ndio taifa la leo, kesho na keshokutwa 😭😭😭

Katiba anayopigania Mbowe ni ya Watanzania wote sio ya chadema.

Mimi naona bora wapinzani wanyamaze kimya ili watanzania wajue umuhimu wao
 
Kwa hiyo magazeti yote yasiandike Habari za Mbowe kwa sababu ana kesi Mahakamani?
 
Chadema sio chama cha siasa ni Genge la wahuni mchanganyiko wa magaidi.
Msajili alipaswa afutilie mbali hili Genge la kihalifu ambalo nia na dhamira yake ni kuvuruga amani ya nchi yetu.
Chadema ni Genge la kihalifu lililo jificha chini ya mwamvuli wa chama cha kisiasa.
vyombo vyetu vya dola vinapaswa vitazame genge hili kwa jicho la tatu.
 
Well said 👏 mkuu CHADEMA ni kama ugonjwa wa cancer kwa Tanzania
 
Mleta mada punguza mzuka.!!
Mbowe ni Mwenyekiti
wa CHADEMA na Mnyika ni katibu wa CHADEMA.
Sasa wewe unashangaa katibu kumzungumzia Mwenyekiti wake?
Pia rais akisema kila mwananchi ana haki ya kutoa review yake ya kile alichosema rais.
Au wewe unadhani rais akisema basi hakuna mwingine wa kusema?
Acha hizo kama unawaza teuzi utapata lakini usifunge mawazo na midomo ya watu.
 
Wewe hujitambui.
 
Wananchi wanataka katiba 😀😀

Kumbe issue ya katiba mpya haikuwepo kwenye sera za tundu...

Wanasiasa wote ni wale wale.
 
Low IQ unaweza tumia Polisi badala yakupita tu?
Low IQ ungekuwa unazuia hoja zisijadiliwe kwa hoja?
Low IQ mbona wanaeleza mistari 5 wewe unaandika maelezo marefu kuwachambulia Low IQ ambao hawaeleweki kwako Bali kwa wengine wanaeleweka.
CDM wana hoja zaidi ya mitusi kwa watu wenye umri wa mama zao? Unamuitaje Rais muongo na kwa kebehi kubwa? Ndiyo maana JPM alisema mnamtukana hivyo hawaletei barabara, mmemkuta huyu mama mstaarabu, mimi ningewakata korodani hizo na kwenda kulisha nguruwe zangu. Unaweza kubishana kwa hoja na Zito, Lipumba and Mbatia, hata yule bwana mdogo katibu mkuu wa ACT, Siyo jitu levi na limbukeni kama Heche
 
Poa mkuu, mama amejitahidi sana tena kwa weledi wa hali ya juu katika kujibu maswali ya Kikeke. Ujue ni Kikeke machachari. Tumeshapata jibu kuhusu Mbowe, naomba serikali iendelee na kazi yake.
 
CDM ni genge la wahuni tu, yaani mnyika wa kumkoromea mama yetu hivo?!
Hata kama tunatofautiana kimtizamo inatupasa kuheshimu mamlaka.
Walimuita JPM dikteta uchwara, hawakumjua vizuri! Kilichofuatia leo kuna mtu ana miguu miwili haifani urefu, mguu mmoja kama wa Hashim Thabit and mwingine kama wa Steve Nyerere, kakimbia na nchi kabisa! Sasa wamegeuka watetezi wa mafisadi (Lowasa) na magaidi (Mbowe)
 
Kama kuna kidogo unachojua, ni kusoma, kuhesabu na kuandika riwaya kama hii lakini thinking na analysis ability ni zero. Your IQ must be below average.
 
Chadema usipotumia ubabe huwezi kukaa nao vizuri, nakumbuka walimuyumbisha kikwete na slogan ya kikuda et "nchi haitatawalika"
Mi naona huyu mama aliwalegezea sana.
Ameshaanza kuwajambisha mkuu, Jan 2022 tunaianza kwa amani kabisa. Gaidi anakula 15 yake anatulizwa huko, wengine wakileta fyoko ni kichapo, na kichapo cha mother ni kizuri sana, unakamatwa kwa amani then unatumbukizwa selo, huko unabanjuliwa haswaa, ukitoka huko umeufyata, kale kapambalu unakasikia tena siku hizi tangu kafanyiwe jambo jema selo mwanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…