Majibu ya Juma Mgunda kuhusu kipa Aishi Manula 'very unprofessional'

Jana nami nilishangaa sana, ajabu maneno yale yanatamkwa na kocha msaidizi,
Tuna safari ndefu sana kufika wenzetu walipo
 
Hivi manula na yule kipa namba mbili wa yanga yupi anastahili kuitwa timu ya taifa afadhali wangemchukua hata Benno Kakolanya
 
Ilitosha mwalimu huyo kusema tu hatujamwita kikosi cha taifa kwa vile kiwango chake kiko chini kwa sasa.

Hii ya kusema hatuendi kuposa ina uhusiano gani na Aishi Manula kuteuliwa kikosi cha timu ya taifa?Au kuna chuki binafsi iko nyuma ya kauli hii?
Binafsi alinishangaza, hizi ni chuki. Maelezo mengi yasiyo na maana yoyote.
 
Heheheheh

Ila manula pale hakuna kitu

Ana vituko Sana akiwa golini

Mi sijaona kipa anaefaa

Wote mapazia tu
 
Dah huyo kocha wamemwokota wapi mbona unprofessional kabsa
 
Wewe ni mpumbavu manula ni gorikipa wa kiwango cha chini kabisa hafai kuwa gorikipa wa timu ya taifa, labda kakolanya siyo huyo besela lenu Manula
 
Mpigeni makofi au ng'oeni viti vya mahali mlipo msikubali hata kidogo
 
Neno Golikipa lenyewe huwezi kuliandika kwa ufasaha utawezaje kugundua ubora wa golikipa ?

Ile statement ya Mgunda inapaswa kutolewa na mapoyoyo tu.

Yote haya ni kwa sababu ya vitambi vya madafu.
Wewe ni mpumbavu manula ni gorikipa wa kiwango cha chini kabisa hafai kuwa gorikipa wa timu ya taifa, labda kakolanya siyo huyo besela lenu Manula
 
shida si majibu ya kocha uwaga najiuliza awa waandishi watanzania wanamatatizo gani maana awanaga maswali yamaana zaidi ya ushabikitu mbona awajawai kuuliza kaseja kuto itwa miaka yote
 
Watakapofungwa tu,tunaleta kocha kutoka nje ya nchi tuone kama Manula hatarudi golini....end justifies the means
 
Mkuu hapa hatujadili sababu za kuachwa manula hapa mjadala ni majibu ya kocha ndio tatizo kwa mujibu wa mleta mada
 
Kuna siku Ndairagije alizungumza vizuri sana kuhusu uchaguzi wake wa Kaseja badala ya Aishi Manula kwenye mechi dhidi ya Burundi

Alisema alimwita Manula lakini akamwambia anamaumivu, alipata injury kwenye mechi ya ligi kwahiyo anaomba wamuache

Watu hawakuelewa mazingira hayo wakawa wanalaumu lakini akasema yeye kama Kocha asingeweza kumlazimisha awepo National Team wakati kashamwambia anaumwa

Hayo ndio majibu ya kitaalamu na kiweledi hasa kwa mwalimu wa kiwango cha kufundisha timu ya Taifa. Tena Ndairagije alifunguka hiyo story baada ya watangazaji kumkomalia na hilo swali lakini mwenyewe hakuwahi kufungua mdomo kulizungunzia hilo kabda. Hiyo ndio professionalism

Juma Mgunda yeye mwenyewe watu wakisema wachimbe CV yake ni mashaka matupu
 
shida si majibu ya kocha uwaga najiuliza awa waandishi watanzania wanamatatizo gani maana awanaga maswali yamaana zaidi ya ushabikitu mbona awajawai kuuliza kaseja kuto itwa miaka yote
Mkuu let's be serious kidogo. Kwa hiyo unaamin Kaseja wa sasa ni bora kuliko Manula?! Metacha Mnata kipi namba mbili wa Yanga ni bora kuliko Manula?!

Nitaamini kuna sababu nyingi na sio hii ya kiwango kushuka. Ila kauli ya huyo kocha msaidizi haina viashiria kuwa Manula ni majeruhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…