Nimeshangaa sanaaa, Kuona Kocha Msaidizi Wa Timu ya Taifa Anatoa Kaulii zisizo na Maadili tena Kwa Nchi Kama TANZANIA ambayo Inapambana Sanaa Kukuza Mpiraa Wake!
Kulikuwa Hakuna Sababu za Msingi za Kumuacha Golikipa Namba Moja Wa Simba AISHI MANULA..!! Hata Kama Sababu Zilikuwepo Za Kifundi, Kocha Alitakiwa Kuzieleza na Sio Kutoa Maneno Ya Shomboo na Ya Kejeli Kwa Aishi Manula Kama amekuja Kumkomoa! Alitakiwa Kuelezea Sababu za Kiufundi zilizofanya kumuacha AISHI MANULA kama Swali lilivyokuwa Limeulizwa! Au angeweza kusema Hawezi kujibu hilo swalii, au angeleezea kiwango cha sasa cha AISHI MANULA kulinganisha na wale walio Itwa.
Nanukuu Kocha Juma Mgunda Anasema “HATUCHAGUI SURA YAKE,HATUJI KUPOSA” Kauli Hii Sitaki Hata Kuanza Kuangalia CV ya Juma Mgunda Moja Kwa Moja Na conclude kuwa Ni UNPROFESSIONAL COACH.
Anaendelea Kusema “KAMA AISHI MANULA ALIVYOKUWA ANACHAGULIWA NYUMA,KUNA MAKIPA WENGINE WALIKUWA HAWACHAGULIWI” Anaendelea Kuoneshaa Anaamua Kufanya kwa Kukomoana! Hii ni Very Very Unprofessional!
Hatujafika hivyo viwango vya kudharau wachezaji wetuuu! Sikumbuki jina lakini kuna mchezaji walikuwa wanamdharau sanaaa lakini Mwisho wa Siku aliisaidia timu Kuvuka kule Sudan na aliitwa baada ya Kuifunga Yangaa hii ilikuwa sio sawa!
Najaribu kufikilia psychological Effect anayoipata sasa AISHI MANULA kwa Kauli kama Hii tena Ya Kocha Wa Timi Ya Taifa.
Mchawi wa soka la Tanzania Ni Watanzania Wenyewe kama akina JUMA MGUNDA! TFF na wadau wa Soka Kuweni Makini na watu kama Hawa
Over.